Miradi iliyoachwa na Wakoloni kabla ya uhuru

Weka picha ya sasa ya hilo kanisa,kumbe 1904 kulikuwa na picha za rangi? Au Majani/Nyasi ya/ziliondolewa karibuni?
Wewe inaelekea huna uelewa una ubishi na hata ukielekezwa huelewi.

Picha ya sasa ya kanisa ipo hapo chini, na mnara ulijengwa siku ya maadhimisho ya miaka 100 yaani mwaka 2004. Mimi nilikuwepo wakati wa maadhimisho na ujenzi wa huo mnara mdogo.

Ramani hiyo ya kanisa iliigwa kutoka makanisa ya Bergen na Bethel Lutheran church, yaliyopo hivyo pia.

Nyumbani nina picha ya Bibi yangu B&W ya mwaka 1904 March,akiwa ameshika matofali mawili madogo ya kuchoma, aliyopigwa na Mjerumani mpiga picha maarufu wa miaka hiyo almost kwa Arusha yote, aliyeishi mkabala na geti la sekondari Ilboru.



bil.jpg
mnara.JPG
 

Attachments

  • mnara.JPG
    mnara.JPG
    19.9 KB · Views: 1
Wewe inaelekea huna uelewa una ubishi na hata ukielekezwa huelewi.

Picha ya sasa ya kanisa ipo hapo chini, na mnara ulijengea siku ya maadhimisho ya miaka 100 yaani mwaka 2004. Mimi nilikuwepo wakati wa maadhimisho na ujenzi wa huo mnara mdogo.

Ramani hiyo ya kanisa iliigwa kutoka makanisa ya Bergen na Bethel Lutheran church, yaliyopo hivyo pia.

Nyumbani nina picha ya Bibi yangu B&W ya mwaka 1904 March,akiwa ameshika matofali mawili madogo ya kuchoma, aliyopigwa na Mjerumani mpiga picha maarufu wa miaka hiyo almost kwa Arusha yote, aliyeishi mkabala na geti la sekondari Ilboru.



View attachment 1488218View attachment 1488220
Mtu kutaka more info ndio hana uelewa? Kwahiyo mtu hautakiwi kuhoji ukipewa taarifa?
 
Ndio watu wakisema upinzani umegota kifikra muwe mnaelewa maana mada kama hizi ni mifano live.
Hiyo miradi ilijengwa na mkoloni unadhani ni kwa maslahi ya sisi wamatumbi?
Pale Berlin Wakoloni walivyogawana Africa kama keki 1884 unadhani kwa lengo gani bandugu?
Hatahivyo naamini una haki ya kutochagua maendeleo kama lifespans cha nani awe kiongozi wako.
Unaweza ukaamua kuangalia mfano sura, ukabila, shepu, chuki zako binafsi, wa dini moja na hata yule mkarimu zaidi wa sinia za wali nyama wakati wa chaguzi.
 
Ifuatayo ni miradi mikubwa iliyojengwa na wakoloni:-

1. Ujenzi wa Bandari ya DSM
2. Ujenzi wa Bandari ya Tanga
3. Ujenzi wa Bandari ya Mtwara
4. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa DSM
5. Ujenzi wa uwanja wa Bandari ya Pemba
6. Ujenzi wa Ikulu ya DSM
7. Ujenzi wa Dsm College (Baadae ikaboreshwa na kuwa UDSM baada ya uhuru)
8. Ujenzi wa Bandari ya Zanzibar
9. Ujenzi wa reli ya kati, Dar-Tabora-Mwanza, Tabora -Kigoma
10. Ujenzi wa mji wa Tanga + Master Plan
11. Ujenzi wa Jiji la DSM + master plan yake
12. Ujenzi wa Bandari ya Mwanza
13. Ujenzi wa bandari ya Bukoba na Musoma
14. Ujenzi wa Bandari ya Mbamba Bay
15. Ujenzi wa Bandari ya Ujiji Kigoma
16. Uundaji wa meli ya MV. Liemba (Ziwa Tanganyika)
17. Uunzi wa meli ya MV. Victoria (Ziwa Victoria)

18. Ujenzi wa shule za Sekondari za kale, mfano Mzumbe, Ilboru, Tanga Tech, Moshi Tech, Mazengo, Mtwara Tech, Tabora Boys+Girls, Pugu, Kibaha, Minaki, Bwiru boys & Girls, Msalato, Ifunda, Iyunga, Mkwawa, Nganza, Tosamaganga, Kilakara, nk

19. Ujenzi wa Ikulu ya Z'bar
20. Ujenzi wa majengo mengi ya Wizara za serikali, vituo vya polisi, magereza na Mahakama.
21. Ujenzi wa shule za msingi za serikali na za Seminari
22. Ujenzi wa makanisa, mf. St. Joseph na Azania Front (Posta Dar) na Misikiti kwa upande wa Z'bar
23. Ujenzi wa hospitali kubwa, mf. Muhimbili
24. Ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme mf. Hale + Nyumba ya Mungu.
25. Ujenzi wa vyuo vikuu vya kati, mfano Dar Tech, Arusha Tech, vyuo vya Ualimu, Kilimo, nk
26. Ujenzi wa reli ya Tanga
27. Ujenzi wa gridi ya kwanza ya Taifa ya umeme
28. Uanzishaji wa mashirika ya umma mfano Posta na simu pamoja na Benki yake
29. Ujenzi wa Uwanja wa Taifa, jijini Dar (Leo Shamba la Bibi)
30. Ujenzi wa vivuko, mfano Kigamboni na Posta jijini Dar
31. Na kadhalika na kadhalika.

Lakini pamoja na yoooote hayo, miradi hiyo yooote, Bado wazee wetu wakiongozwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, walisimama mbele ya kadamnasi na kuwaambia wananchi kuwa hao watu (wakoloni) hawafai, waondoke watupishe. Na kweli wakapisha rasmi Desemba mwaka 1961.

Sasa mwaka huu 2020, mimi ni nani hata nisimpinge ccm kwenye uchaguzi huu, pale anapotumia miradi ya maendeleo kadhaa iliyojengwa na serikali anayoiongoza, kama kigezo cha yeye kutaka kuchaguliwa tena na kubakia madarakani?

Tafakari...!!!.
Maana kuna malingo humu duniani ambayo wanatakiwa kuyaondoa kwa lazima!?

MALINGO YANAPOANZIA

1. ZAA MTOTO SOMESHA HAKUNA KAZI

2. ABUDU SHERIA LAKINI NI VISTORY VYA KUSIMULIA WAJUKUU KWA WENGINE MFANO SHERIA YA VYAMA VYA SIASA

3. FIKILISHWA KWA LAZIMA BILA HELA KWA AJILI YA JAMII NA USUMBILI KUJIUWA

4. WATU KUWEKA NDOTO NYINGI KWA MTU MMOJA KWA MATATIZO YA WENGI


5. MAISHA YA KUBORESHA YAKIJA ZIBA HELA ZISIPATIKANE MTAANI

6. HATA VIPI TUTAWEKA TATIZO KWA MTU MMOJA NA SIYE TUENJOY

7. KIKOSI ILIBIDI KIANDAE JANGA LA KUFIKIRISHA WATOA MAAMUZI

NA KATHALIKA

Kwa sababu hakuna mkamilifu hiki kikosi ndicho kitatumika kuwanyosha WATAKATIFU WA NATHALETI pamoja na MFALME ERODE....

Check walivyorelax kwenye mjengo hapo ni kusifia barabara tu maana kesho hukumbuki



Watakubalika tu
 
Ningekuwa naishi miaka hiyo, nimewashauri wenzangu tuwaache WAINGELEZA watutawale walau kwa miaka 10 mingine.....tulistahili kupata uhuru walau 1971.

Miaka kumi hiyo tungejifuza civilization (ustaarabu), maana sasa hivi tunaishi kama manyani mwituni - kutekana, kuuana, kusengenyana, umbeya, kujikomba - yaani ni mambo ya ujinga ujinga ambayo wenzetu wa ulaya yalikuwepo karne ya 11 hadi 13. ni kweli kwa sasa tupo kwenye UJIMA.
 
Wewe inaelekea huna uelewa una ubishi na hata ukielekezwa huelewi.

Picha ya sasa ya kanisa ipo hapo chini, na mnara ulijengea siku ya maadhimisho ya miaka 100 yaani mwaka 2004. Mimi nilikuwepo wakati wa maadhimisho na ujenzi wa huo mnara mdogo.

Ramani hiyo ya kanisa iliigwa kutoka makanisa ya Bergen na Bethel Lutheran church, yaliyopo hivyo pia.

Nyumbani nina picha ya Bibi yangu B&W ya mwaka 1904 March,akiwa ameshika matofali mawili madogo ya kuchoma, aliyopigwa na Mjerumani mpiga picha maarufu wa miaka hiyo almost kwa Arusha yote, aliyeishi mkabala na geti la sekondari Ilboru.



View attachment 1488218View attachment 1488220
Hapa nimejifunza kitu, I wish ungetuwekea na picha ya bibi, though inawezekana now uko mbali.
 
Lakini ni vizuri ujue kuwa siku zote mwizi huwa anajitengenezea njia ili akiiba apite viruzi. Angalia network ya miundo mbinu UK halufu linganisha na yetu aliyoacha mkoloni, utajua maana yangu.
kumbe hii ni account yako nyingine,nimejua hilo leo duh.
 
Ifuatayo ni miradi mikubwa iliyojengwa na wakoloni:-

1. Ujenzi wa Bandari ya DSM
2. Ujenzi wa Bandari ya Tanga
3. Ujenzi wa Bandari ya Mtwara
4. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa DSM
5. Ujenzi wa uwanja wa Bandari ya Pemba
6. Ujenzi wa Ikulu ya DSM
7. Ujenzi wa Dsm College (Baadae ikaboreshwa na kuwa UDSM baada ya uhuru)
8. Ujenzi wa Bandari ya Zanzibar
9. Ujenzi wa reli ya kati, Dar-Tabora-Mwanza, Tabora -Kigoma
10. Ujenzi wa mji wa Tanga + Master Plan
11. Ujenzi wa Jiji la DSM + master plan yake
12. Ujenzi wa Bandari ya Mwanza
13. Ujenzi wa bandari ya Bukoba na Musoma
14. Ujenzi wa Bandari ya Mbamba Bay
15. Ujenzi wa Bandari ya Ujiji Kigoma
16. Uundaji wa meli ya MV. Liemba (Ziwa Tanganyika)
17. Uunzi wa meli ya MV. Victoria (Ziwa Victoria)

18. Ujenzi wa shule za Sekondari za kale, mfano Mzumbe, Ilboru, Tanga Tech, Moshi Tech, Mazengo, Mtwara Tech, Tabora Boys+Girls, Pugu, Kibaha, Minaki, Bwiru boys & Girls, Msalato, Ifunda, Iyunga, Mkwawa, Nganza, Tosamaganga, Kilakara, nk

19. Ujenzi wa Ikulu ya Z'bar
20. Ujenzi wa majengo mengi ya Wizara za serikali, vituo vya polisi, magereza na Mahakama.
21. Ujenzi wa shule za msingi za serikali na za Seminari
22. Ujenzi wa makanisa, mf. St. Joseph na Azania Front (Posta Dar) na Misikiti kwa upande wa Z'bar
23. Ujenzi wa hospitali kubwa, mf. Muhimbili
24. Ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme mf. Hale + Nyumba ya Mungu.
25. Ujenzi wa vyuo vikuu vya kati, mfano Dar Tech, Arusha Tech, vyuo vya Ualimu, Kilimo, nk
26. Ujenzi wa reli ya Tanga
27. Ujenzi wa gridi ya kwanza ya Taifa ya umeme
28. Uanzishaji wa mashirika ya umma mfano Posta na simu pamoja na Benki yake
29. Ujenzi wa Uwanja wa Taifa, jijini Dar (Leo Shamba la Bibi)
30. Ujenzi wa vivuko, mfano Kigamboni na Posta jijini Dar
31. Na kadhalika na kadhalika.

Lakini pamoja na yoooote hayo, miradi hiyo yooote, Bado wazee wetu wakiongozwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, walisimama mbele ya kadamnasi na kuwaambia wananchi kuwa hao watu (wakoloni) hawafai, waondoke watupishe. Na kweli wakapisha rasmi Desemba mwaka 1961.

Sasa mwaka huu 2020, mimi ni nani hata nisimpinge ccm kwenye uchaguzi huu, pale anapotumia miradi ya maendeleo kadhaa iliyojengwa na serikali anayoiongoza, kama kigezo cha yeye kutaka kuchaguliwa tena na kubakia madarakani?

Tafakari...!!!.
Namba 16 irudie meli Liemba ilijengwa na Ujerumani au sio
 
Ulipokubali kuingia Jf baada Tu ya muda mfupi wa kukorogana na mumeo ndio ukajikuta umevuruga kabisaa!

Ulichokiandika sijui umetumia kitufe gani kufikiri!
 
Namba 16 irudie meli Liemba ilijengwa na Ujerumani au sio
Ni mjerumani tu, aliizamisha ili kuificha wakati wa vita kuu na kisha akaiibua baada ya vita na ikaendelea na safari mpaka leo, jiulize hakufaa kuwa rais wetu? Ile ya Bagamoyo iko wapi?
 
Ifuatayo ni miradi mikubwa iliyojengwa na wakoloni:-

1. Ujenzi wa Bandari ya DSM
2. Ujenzi wa Bandari ya Tanga
3. Ujenzi wa Bandari ya Mtwara
4. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa DSM
5. Ujenzi wa uwanja wa Bandari ya Pemba
6. Ujenzi wa Ikulu ya DSM
7. Ujenzi wa Dsm College (Baadae ikaboreshwa na kuwa UDSM baada ya uhuru)
8. Ujenzi wa Bandari ya Zanzibar
9. Ujenzi wa reli ya kati, Dar-Tabora-Mwanza, Tabora -Kigoma
10. Ujenzi wa mji wa Tanga + Master Plan
11. Ujenzi wa Jiji la DSM + master plan yake
12. Ujenzi wa Bandari ya Mwanza
13. Ujenzi wa bandari ya Bukoba na Musoma
14. Ujenzi wa Bandari ya Mbamba Bay
15. Ujenzi wa Bandari ya Ujiji Kigoma
16. Uundaji wa meli ya MV. Liemba (Ziwa Tanganyika)
17. Uunzi wa meli ya MV. Victoria (Ziwa Victoria)

18. Ujenzi wa shule za Sekondari za kale, mfano Mzumbe, Ilboru, Tanga Tech, Moshi Tech, Mazengo, Mtwara Tech, Tabora Boys+Girls, Pugu, Kibaha, Minaki, Bwiru boys & Girls, Msalato, Ifunda, Iyunga, Mkwawa, Nganza, Tosamaganga, Kilakara, nk

19. Ujenzi wa Ikulu ya Z'bar
20. Ujenzi wa majengo mengi ya Wizara za serikali, vituo vya polisi, magereza na Mahakama.
21. Ujenzi wa shule za msingi za serikali na za Seminari
22. Ujenzi wa makanisa, mf. St. Joseph na Azania Front (Posta Dar) na Misikiti kwa upande wa Z'bar
23. Ujenzi wa hospitali kubwa, mf. Muhimbili
24. Ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme mf. Hale + Nyumba ya Mungu.
25. Ujenzi wa vyuo vikuu vya kati, mfano Dar Tech, Arusha Tech, vyuo vya Ualimu, Kilimo, nk
26. Ujenzi wa reli ya Tanga
27. Ujenzi wa gridi ya kwanza ya Taifa ya umeme
28. Uanzishaji wa mashirika ya umma mfano Posta na simu pamoja na Benki yake
29. Ujenzi wa Uwanja wa Taifa, jijini Dar (Leo Shamba la Bibi)
30. Ujenzi wa vivuko, mfano Kigamboni na Posta jijini Dar
31. Na kadhalika na kadhalika.

Lakini pamoja na yoooote hayo, miradi hiyo yooote, Bado wazee wetu wakiongozwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, walisimama mbele ya kadamnasi na kuwaambia wananchi kuwa hao watu (wakoloni) hawafai, waondoke watupishe. Na kweli wakapisha rasmi Desemba mwaka 1961.

Sasa mwaka huu 2020, mimi ni nani hata nisimpinge ccm kwenye uchaguzi huu, pale anapotumia miradi ya maendeleo kadhaa iliyojengwa na serikali anayoiongoza, kama kigezo cha yeye kutaka kuchaguliwa tena na kubakia madarakani?

Tafakari...!!!.
Miji yote ilikuwa na viwanja vya mpira vya serikali! aliyevikomba ni ndugu yetu tunaye humuhumu ndani.
 
Ifuatayo ni miradi mikubwa iliyojengwa na wakoloni:-

1. Ujenzi wa Bandari ya DSM
2. Ujenzi wa Bandari ya Tanga
3. Ujenzi wa Bandari ya Mtwara
4. Ujenzi wa uwanja wa ndege wa DSM
5. Ujenzi wa uwanja wa Bandari ya Pemba
6. Ujenzi wa Ikulu ya DSM
7. Ujenzi wa Dsm College (Baadae ikaboreshwa na kuwa UDSM baada ya uhuru)
8. Ujenzi wa Bandari ya Zanzibar
9. Ujenzi wa reli ya kati, Dar-Tabora-Mwanza, Tabora -Kigoma
10. Ujenzi wa mji wa Tanga + Master Plan
11. Ujenzi wa Jiji la DSM + master plan yake
12. Ujenzi wa Bandari ya Mwanza
13. Ujenzi wa bandari ya Bukoba na Musoma
14. Ujenzi wa Bandari ya Mbamba Bay
15. Ujenzi wa Bandari ya Ujiji Kigoma
16. Uundaji wa meli ya MV. Liemba (Ziwa Tanganyika)
17. Uunzi wa meli ya MV. Victoria (Ziwa Victoria)

18. Ujenzi wa shule za Sekondari za kale, mfano Mzumbe, Ilboru, Tanga Tech, Moshi Tech, Mazengo, Mtwara Tech, Tabora Boys+Girls, Pugu, Kibaha, Minaki, Bwiru boys & Girls, Msalato, Ifunda, Iyunga, Mkwawa, Nganza, Tosamaganga, Kilakara, nk

19. Ujenzi wa Ikulu ya Z'bar
20. Ujenzi wa majengo mengi ya Wizara za serikali, vituo vya polisi, magereza na Mahakama.
21. Ujenzi wa shule za msingi za serikali na za Seminari
22. Ujenzi wa makanisa, mf. St. Joseph na Azania Front (Posta Dar) na Misikiti kwa upande wa Z'bar
23. Ujenzi wa hospitali kubwa, mf. Muhimbili
24. Ujenzi wa mabwawa ya kuzalisha umeme mf. Hale + Nyumba ya Mungu.
25. Ujenzi wa vyuo vikuu vya kati, mfano Dar Tech, Arusha Tech, vyuo vya Ualimu, Kilimo, nk
26. Ujenzi wa reli ya Tanga
27. Ujenzi wa gridi ya kwanza ya Taifa ya umeme
28. Uanzishaji wa mashirika ya umma mfano Posta na simu pamoja na Benki yake
29. Ujenzi wa Uwanja wa Taifa, jijini Dar (Leo Shamba la Bibi)
30. Ujenzi wa vivuko, mfano Kigamboni na Posta jijini Dar
31. Na kadhalika na kadhalika.

Lakini pamoja na yoooote hayo, miradi hiyo yooote, Bado wazee wetu wakiongozwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, walisimama mbele ya kadamnasi na kuwaambia wananchi kuwa hao watu (wakoloni) hawafai, waondoke watupishe. Na kweli wakapisha rasmi Desemba mwaka 1961.

Sasa mwaka huu 2020, mimi ni nani hata nisimpinge ccm kwenye uchaguzi huu, pale anapotumia miradi ya maendeleo kadhaa iliyojengwa na serikali anayoiongoza, kama kigezo cha yeye kutaka kuchaguliwa tena na kubakia madarakani?

Tafakari...!!!.
Kuna watu wewe ni heroine kwao sababu ya nyuzi kama hizi..
 
Weka picha ya sasa ya hilo kanisa,kumbe 1904 kulikuwa na picha za rangi? Au Majani/Nyasi ya/ziliondolewa karibuni?
Kwani picha iliyo ya Black n white haiwezekani kuicolor ikawa clear au katika rangi uitakayo? As long as ipo kwenye softcopy.

Hiyo picha ilikuwa ni Black & White jamaa akaiweka katika rangi hiyo kwa kutumia moja kati ya Apps nyingi tu za kuedit picha na kuzitupia katika Blog yake.

Picasa, picut, hata google photos tu inafanya hilo hujafika hata kwenye adobe Photoshop.
 
Kabla hujatutafakarisha, je lengo la hizo project ilikua kwa niaba ya nani?

Je ni kweli walifanya haya kwa ajiri ya watu wetu?

Na wewe tafakari.
Nakukumbusha tu Nyerere ni zao la elimu ya kikoloni kabla ya uhuru na wewe Ni zao la elimu ya kata baada ya Uhuru ...


Haya jipime wewe na una nini baada ya kusoma baada ya Uhuru
 
Magufuli anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa
Kati ya MKOLONI na CCM nani ameongoza nchi hii kwa muda mrefu? Kumbuka mpaka sasaivi tuna miaka zaidi ya 54 ya Uhuru ( Yaani tangu hao wakoloni waondoke na kuwaachia Tanganyika yenu )
 
Mkoloni kaongoza miaka miamoja
Kati ya MKOLONI na CCM nani ameongoza nchi hii kwa muda mrefu? Kumbuka mpaka sasaivi tuna miaka zaidi ya 54 ya Uhuru ( Yaani tangu hao wakoloni waondoke na kuwaachia Tanganyika yenu )
 
Back
Top Bottom