Minara Mipya Vodacom Sh. Mil. 220, si Uongo huu?

Minara Mipya Vodacom Sh. Mil. 220, si Uongo huu?

HTT (Helios Towers Tanzania) ni sehemu ya kampuni iitwayo Helio Towers Africa. Hawa jamaa wapo Ghana, DRC na South Africa. Makao makuu ya Helios yapo U.K


Excellent! Vodacom Tanzania ni kampuni Tanzu ya Vodafone kupitia tawi lake lililopo Afrika ya kusini--yaani Vodafone ambayo makao yake makuu yapo London, Uingereza. Kama nimekuelewa vizuri hii Kampuni HTT yenye kuuziwa minara Tanzania ambayo ndiyo huyu Vodacom kaiuzia minara ina Makao yake makuu London? INAONEKANA hawa jamaa wanafahamiana vizuri sana hawa.

Af inaonekana wewe jamaa uliyejipachika jina baya la Hater unajua mambo mengi sana wewe! Hebu tuone sasa nisaidie kujua Ni kina nani hasa wakurugenzi wa HTT? Vodafone ni Listed Public Liability London Stock Exhange nadhani. Swali? Nani hasa major Share holder wa HTT? Je, hakuna duplication ya interest katika Vodafone na HTT? Zama hapo tuone--ikibidi tuma mwambata wa Uchumi pale ubalozi wetu London atuambie kama hakuna duplication ya interests kati ya Vodafone na HTT tuone tunaibuka na lipi kujua hizi dola billioni moja za Vodacom zimezamishwa wapi hasa!
 
Kuna haja ya kuanzisha numeracy test kwa kila mtu anayejiunga na JF na kwa waandishi wa habari.

Kichwa cha habari akiendani na habari yenyewe. Kichwa cha bahari kinasema Milioni 200 na habari yenyewe ni bilioni 200!


haha ha ha.... kuna mburula mmoja nafikiri ni modi humu Jf alibadili heading yangu mkuu. figure niliyokuwa nimeweka ni 220,000,000,000/- wapewe 11 + 11 tuone kama hawakuleta jibu 1111
 
Asante ndugu mchangiaji. Naomba nitakafakari kuhusu huu mchango wako. Ni kama unajua jambo hapa, lakini ni kweli au si kweli, mtu anahitaji kujifikirisha kwanza. Hii HTT ni mali ya nani?

Unamuuliza nani? Nenda brela
 
Unamuuliza nani? Nenda brela

mmmm....una maslahi na HTT wewe! haya majibu ya mkatomkato siyo bure haya. au ndo wewe umepewa hizo bilioni nini?! kata kidogo bas na sie tupunguze njaa.
 
Mnara milioni 50?? Labda mnara wa miti sio wa kile chuma.... Kwa UFUPI mi najua mnara unarange kati ya milioni 300 - milioni 500 hapo ujaanza kufunga vifaa vya network.

Bilioni 200 ina maana si chini ya minara 800.... Dar kuna minara 500-700

Kama huna uhakika bora kukaa kimya usikiee wengine wanasemaje. Hicho ulichoandika hakiwezekani kabisa. Hii ni biashara yenye faida kubwa sana na ndo maana makampuni yana miminika kufungua biashara ya simu hapa nchini. Huwezi ku invest kiasi hicho cha hela bila kuwa na uhakika wa return nzuri. $1 bilion ni kubwa sana kwenye biashara. Hiyo ni tsh 2.2 trilion. Hicho wanachofanya vodacom ni kujaribu kuwa fool wa tz ili kuhalalisha ukwepaji kod wao. Wawe waungwana walipe kodi. Enzi za hatukukutana barabaran zishapita hizo. Sasa hivi ni nyekundu iitwe nyekundu hivo hivo
 
Halafu term za kibiashara hazitamkwi kwa mafumbo et during the past few years. Waseme the past two or three or four. Wawe specific. Sio kudanganya danganya apa. Waweke facts. Huwezi ku invest kiasi hicho cha hela na watu wasione. Wawe wanaulizana ziko wap assert hizo. Hawa jamaa ni wakwepaji wakubwa wa kulipa kodi. Wawe wapole tu na warudi kwenye mstari
 
Kama huna uhakika bora kukaa kimya usikiee wengine wanasemaje. Hicho ulichoandika hakiwezekani kabisa. Hii ni biashara yenye faida kubwa sana na ndo maana makampuni yana miminika kufungua biashara ya simu hapa nchini. Huwezi ku invest kiasi hicho cha hela bila kuwa na uhakika wa return nzuri. $1 bilion ni kubwa sana kwenye biashara. Hiyo ni tsh 2.2 trilion. Hicho wanachofanya vodacom ni kujaribu kuwa fool wa tz ili kuhalalisha ukwepaji kod wao. Wawe waungwana walipe kodi. Enzi za hatukukutana barabaran zishapita hizo. Sasa hivi ni nyekundu iitwe nyekundu hivo hivo

wakina edo na rostam wanafikiri wapo kwenye enzi za mkwere ,
kampuni hizi zinatunyonya sana sis watanzania halafu mbaya zaidi hata kodi stahiki yenyewe hawalipi
 
mmmm....una maslahi na HTT wewe! haya majibu ya mkatomkato siyo bure haya. au ndo wewe umepewa hizo bilioni nini?! kata kidogo bas na sie tupunguze njaa.

usikute hawa ndo akina tani , shivacom, fred cc lowasa
 
Kama huna uhakika bora kukaa kimya usikiee wengine wanasemaje. Hicho ulichoandika hakiwezekani kabisa. Hii ni biashara yenye faida kubwa sana na ndo maana makampuni yana miminika kufungua biashara ya simu hapa nchini. Huwezi ku invest kiasi hicho cha hela bila kuwa na uhakika wa return nzuri. $1 bilion ni kubwa sana kwenye biashara. Hiyo ni tsh 2.2 trilion. Hicho wanachofanya vodacom ni kujaribu kuwa fool wa tz ili kuhalalisha ukwepaji kod wao. Wawe waungwana walipe kodi. Enzi za hatukukutana barabaran zishapita hizo. Sasa hivi ni nyekundu iitwe nyekundu hivo hivo

Unatoka povu tu mkuu kwa kitu usichokijua....
HTT minara wamenunua kutoka makampuni ya telecom kuanzia 2013..... Ina maana nyuma ya hapo makampuni yalijenga minara yao wenyewe, piga mahesabu nchi nzima kuna minara mingapi??

Kwa kukusaidia tu ujenzi wa mnara ni around 300-500m na kuna sehemu za mjini haipiti mwezi kwa kipindi cha nyuma hiyo hela inakua isharudi na faida juu per mnara.....

Sehemu Voda wana-make money zaidi ni kanda ya ziwa pale wanatengeneza millions of dolar....

Kwa telecom hiyo figure inawezekana.....
People are making money dude.
 
Excellent! Vodacom Tanzania ni kampuni Tanzu ya Vodafone kupitia tawi lake lililopo Afrika ya kusini--yaani Vodafone ambayo makao yake makuu yapo London, Uingereza. Kama nimekuelewa vizuri hii Kampuni HTT yenye kuuziwa minara Tanzania ambayo ndiyo huyu Vodacom kaiuzia minara ina Makao yake makuu London? INAONEKANA hawa jamaa wanafahamiana vizuri sana hawa.

Af inaonekana wewe jamaa uliyejipachika jina baya la Hater unajua mambo mengi sana wewe! Hebu tuone sasa nisaidie kujua Ni kina nani hasa wakurugenzi wa HTT? Vodafone ni Listed Public Liability London Stock Exhange nadhani. Swali? Nani hasa major Share holder wa HTT? Je, hakuna duplication ya interest katika Vodafone na HTT? Zama hapo tuone--ikibidi tuma mwambata wa Uchumi pale ubalozi wetu London atuambie kama hakuna duplication ya interests kati ya Vodafone na HTT tuone tunaibuka na lipi kujua hizi dola billioni moja za Vodacom zimezamishwa wapi hasa!

Msipende kuendeshwa kwa hisia HTT Ana own minara yote kwa sasa kwa upande wa tigo na Voda, airtel waliichukua ila baada ya mwezi wakawarudishia baada ya kugundua airtel wana deni kubwa sana na walikopa kwa dhamana ya minara wale wahindi wa airtel wahuni sana, zantel bado ila soon watawauzia htt nao maana milicom kashainunua zantel...

HTT Walianza hiyo biashara na TIGO kwanza kabla ya Voda.
Voda walikuja after a year nadhani au pungufu kidogo na hapo.

Wote ni makaburu ila uhusiano uliopo ni wa kibiashara.....

Sheria ya kuwa na mmiliki mmoja wa mnara ilipendekezwa na serikali kupunguza utitiri wa minara nchini...

Imagine sehemu moja una mnara wa Voda tigo airtel zantel halotel hits aje smile aje smart.... Si uchafu?

Anyway ngoja wajuvi wa mambo waje kutiririka zaidi..
 
Msipende kuendeshwa kwa hisia HTT Ana own minara yote kwa sasa kwa upande wa tigo na Voda, airtel waliichukua ila baada ya mwezi wakawarudishia baada ya kugundua airtel wana deni kubwa sana na walikopa kwa dhamana ya minara wale wahindi wa airtel wahuni sana, zantel bado ila soon watawauzia htt nao maana milicom kashainunua zantel...

HTT Walianza hiyo biashara na TIGO kwanza kabla ya Voda.
Voda walikuja after a year nadhani au pungufu kidogo na hapo.

Wote ni makaburu ila uhusiano uliopo ni wa kibiashara.....

Sheria ya kuwa na mmiliki mmoja wa mnara ilipendekezwa na serikali kupunguza utitiri wa minara nchini...

Imagine sehemu moja una mnara wa Voda tigo airtel zantel halotel hits aje smile aje smart.... Si uchafu?

Anyway ngoja wajuvi wa mambo waje kutiririka zaidi..

Mzee tunaongelea kauli hiyo ya vodacom kuwa wame invest $1bilion during the past few years. Wameinvest wapi Uko. Few years ni miaka mingapi. Kwenye biashara hakuna siasa. Kama walikusudia kutoa taarifa hii kwa public basi iwe kamili. Waseme wazi miaka mingapi hiyo ambayo wame invest kiasi hicho cha pesa. Kwa assert zipi kama sio mbinu za kukwepa kodi. Wana tuibia sana na mbaya zaid hawalip kodi. Tbl kila mwaka wanaweka kwa public financial report yao. Wanaonyesha investment zao. Faida na kiasi cha kodi walicholipa. Na mwisho Wanaonyesha growth rate yao. Kuwa kampuni inakuwa na Mwaka huu imekuwa kwa kiwango gani. Hakuna siri. Kama ww ni mfanyakazi wa vodacom kwenye senior position waambie watoke public Waseme ukweli kama upo. Mi nawashauri waache ujanja ujanja waanze kulipa kodi na wapunguze kutunyonya. Otherwise this time wataharibu biashara.
 
Mzee tunaongelea kauli hiyo ya vodacom kuwa wame invest $1bilion during the past few years. Wameinvest wapi Uko. Few years ni miaka mingapi. Kwenye biashara hakuna siasa. Kama walikusudia kutoa taarifa hii kwa public basi iwe kamili. Waseme wazi miaka mingapi hiyo ambayo wame invest kiasi hicho cha pesa. Kwa assert zipi kama sio mbinu za kukwepa kodi. Wana tuibia sana na mbaya zaid hawalip kodi. Tbl kila mwaka wanaweka kwa public financial report yao. Wanaonyesha investment zao. Faida na kiasi cha kodi walicholipa. Na mwisho Wanaonyesha growth rate yao. Kuwa kampuni inakuwa na Mwaka huu imekuwa kwa kiwango gani. Hakuna siri. Kama ww ni mfanyakazi wa vodacom kwenye senior position waambie watoke public Waseme ukweli kama upo. Mi nawashauri waache ujanja ujanja waanze kulipa kodi na wapunguze kutunyonya. Otherwise this time wataharibu biashara.

Okay I get you... Kumbe unahitaji mchanganuo kamili wa hiyo B....

Pesa Kuvuja znavuja nyingi sana na serikali imelala, hivi ule MTambo tcra walisema wataufunga kwa ajili ya kurecord voice na data ili wawabane makampuni ya simu kwenye kipato wanachopata ulishafungwa??? Au the same story na Mitambo ya kusafisha madini mpk tunasafirisha madini kama mchanga kwenda ughaibuni??

Hii Nchi ujanja Ujanja mwingi...
Anyway mi si mfanyakazi wa Voda nilijaribu ku share kidogo nachojua bila kuwa bias....
Mind you kidole kimoja hakivunji chawa...
 
DU! Hii discussion nimeipenda sana kwa kweli.


Halafu term za kibiashara hazitamkwi kwa mafumbo et during the past few years. Waseme the past two or three or four. Wawe specific. Sio kudanganya danganya apa. Waweke facts. Huwezi ku invest kiasi hicho cha hela na watu wasione. Wawe wanaulizana ziko wap assert hizo. Hawa jamaa ni wakwepaji wakubwa wa kulipa kodi. Wawe wapole tu na warudi kwenye mstari


Nakubaliana nawe mkuu. Lugha ya during the past few year ni lugha ya ulaghai.... Wanyooshe maelezo hawa! Na nitashangaa kama janaa wa TRA hawajaona huu uzi maana huu ni uzi wao huu.... Kodi, kodi, kodi....watulipe kosi zetu tufutulie kiwanda cha Bora Shoes.



wakina edo na rostam wanafikiri wapo kwenye enzi za mkwere ,
kampuni hizi zinatunyonya sana sis watanzania halafu mbaya zaidi hata kodi stahiki yenyewe hawalipi


we Mhandisi Mzalendo, mbona inakuwa ka umechapia hivi! kuna hoja kweli hapo?

Unatoka povu tu mkuu kwa kitu usichokijua....
HTT minara wamenunua kutoka makampuni ya telecom kuanzia 2013..... Ina maana nyuma ya hapo makampuni yalijenga minara yao wenyewe, piga mahesabu nchi nzima kuna minara mingapi??

Kwa kukusaidia tu ujenzi wa mnara ni around 300-500m na kuna sehemu za mjini haipiti mwezi kwa kipindi cha nyuma hiyo hela inakua isharudi na faida juu per mnara.....

Sehemu Voda wana-make money zaidi ni kanda ya ziwa pale wanatengeneza millions of dolar....

Kwa telecom hiyo figure inawezekana.....
People are making money dude.

Kama huna uhakika bora kukaa kimya usikiee wengine wanasemaje. Hicho ulichoandika hakiwezekani kabisa. Hii ni biashara yenye faida kubwa sana na ndo maana makampuni yana miminika kufungua biashara ya simu hapa nchini. Huwezi ku invest kiasi hicho cha hela bila kuwa na uhakika wa return nzuri. $1 bilion ni kubwa sana kwenye biashara. Hiyo ni tsh 2.2 trilion. Hicho wanachofanya vodacom ni kujaribu kuwa fool wa tz ili kuhalalisha ukwepaji kod wao. Wawe waungwana walipe kodi. Enzi za hatukukutana barabaran zishapita hizo. Sasa hivi ni nyekundu iitwe nyekundu hivo hivo


SAWASAWA KABISA!!!!
 
Back
Top Bottom