Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,372
Hauko peke yako mkuu!
Kumbe atheists tuko wengi humu?Mkuu unanitia aibu mpagani mwenzako sisi hatuna cha kupoteza we funga nae tu ndoa kanisani then kila mtu aendelee na ustaraabu wake
Napata moyo sana kukutana na michango kama hii. Mwamko wa watu unatia faraja sana.Usijar utapata. Mwanamke siku zote huwa chini ya mwanaume. Kama umeweza kuamini hakuna uwepo wa mungu, basi kwa facts ambazo zilikufanye wewe usiamini, unaweza mfungua macho na mwenzako.
Mm ni mmoja kati ya wasioamini uwepo wa mungu. Nina mke jembe ambaye nilimpa fact mpaka sasa yupo kwenye mstari wangu
Tupo mkuu hata mimi naona jamaa hana cha kupoteza akafunge nae ndoa popote tu iwe kanisani,msikitini Mimi sina presha na hizi dini nkikutana na Salma ntaitwa Omary nkikutana na Sarah ntaitwa Christopher basi mradi sikwamishi lolote kwa jili ya diniKumbe atheists tuko wengi humu?
Ndiyo hivyo, complications hizi za watu utapasua kichwa tu.Tupo mkuu hata mimi naona jamaa hana cha kupoteza akafunge nae ndoa popote tu iwe kanisani,msikitini Mimi sina presha na hizi dini nkikutana na Salma ntaitwa Omary nkikutana na Sarah ntaitwa Christopher basi mradi sikwamishi lolote kwa jili ya dini
Bora uamini yupo utakapoenda umkose kuliko usiamini halafu umkute. Kwa issue ya laaziz labda uwanja Wa fisiWakuu nimekuwa nikiishi bila kuamini chochote kwa miaka 8 sasa. Usiniulize kwa nini, we jua nipo hivyo, siamini uwepo wa mungu na hata shetani.
Nimedate na wanawake 7 mpaka sasa, na sasa nina miaka 25.
Kwa sasa Nina mahusiano na binti mmoja yeye ni mkatoliki mwenye imani sana na huwa hapendi ucheze na Mungu.
Nimemweleza nataka kumwoa na ningependa iwe kabla ya mwaka huu akasema mpaka awasiliane na wazazi.
Nilifanya mipango kama tamaduni zetu za kitanzania za kumtuma mshenga.
Ikafika kwenye suala la ndoa, hapo ndio mtiti ulipo anzia.
Mwazoni binti alijua mimi ni mkatoliki na huwa namdanganya mara nyingi nimekwenda kanisani. Huwa ananielewa sana kutokana na ustaarabu na ukarimu nilionao.
Ila mwezi wa 11 ndipo nilipoweleza ukweli kuwa siwezi funga ndoa ya kanisani kwakuwa mimi sina dini na siamini uwepo wa mungu.
Binti hakuamini maneno yangu mpaka ikafikia kuamini natumia mbinu hiyo kumkataa.
Nilimweleza km yupo tayari twende tukafunge ndoa ya serikali.
Binti alikataa na kusema imani yake haimruhusu kuishi na mtu ambae haamini chochote na hata wazazi wake wasinge afiki kitu km hicho licha ya kumsisitiza lazima aolewe na mkatoliki tu.
Imebidi tuvunje mahusiano yetu na sasa nimeamua kutuliza kichwa kwanza.
Napenda kuuliza hii kitu, kuna wasichama ambao hawaamini uwepo wa mungu au ambao hawana dini kabisa?
Je nitaweza pata binti ambae anaendana na msimamo wangu?
Ushauri tafazali, ila usijikite kuuliza kwa nini sina dini.
Natamani nifahamu hizo facts ulizompa akaelewa na mie nielewe inakuwaje hapo kuna mwanaume kipindi cha nyuma kidogo aliniambia nataka nkuoe ila usiende kanisani wala msikitini nilishtuka na kushangaa sana nkamwambia hapana me sijalelewa hivo najua Mungu yupo na ananafasi katika maisha yangu basi nkakutana na mwingine wa imani yangu.Usijar utapata. Mwanamke siku zote huwa chini ya mwanaume. Kama umeweza kuamini hakuna uwepo wa mungu, basi kwa facts ambazo zilikufanye wewe usiamini, unaweza mfungua macho na mwenzako.
Mm ni mmoja kati ya wasioamini uwepo wa mungu. Nina mke jembe ambaye nilimpa fact mpaka sasa yupo kwenye mstari wangu
Ni somo refu kidogo na linahitaji uelewa. Ni vitu ambavyo ukishavijua, hakika utajiona mzembe sana maana ni mtego mdogo tuNatamani nifahamu hizo facts ulizompa akaelewa na mie nielewe inakuwaje hapo kuna mwanaume kipindi cha nyuma kidogo aliniambia nataka nkuoe ila usiende kanisani wala msikitini nilishtuka na kushangaa sana nkamwambia hapana me sijalelewa hivo najua Mungu yupo na ananafasi katika maisha yangu basi nkakutana na mwingine wa imani yangu.
Ila hakunipa facts kabisa nkaelewa anasema ukubali tu.
Unajisifu et ulimpa fact mwanamke! huwa wanasema wanawake hawana dini unajua kwanini?Usijar utapata. Mwanamke siku zote huwa chini ya mwanaume. Kama umeweza kuamini hakuna uwepo wa mungu, basi kwa facts ambazo zilikufanye wewe usiamini, unaweza mfungua macho na mwenzako.
Mm ni mmoja kati ya wasioamini uwepo wa mungu. Nina mke jembe ambaye nilimpa fact mpaka sasa yupo kwenye mstari wangu
Hakuna facts zozote,kinachofanyika ni sawa na kumshawishi mtu aliyefanyiwa uovu kwenda kufanya revenge tu.Natamani nifahamu hizo facts ulizompa akaelewa na mie nielewe inakuwaje hapo kuna mwanaume kipindi cha nyuma kidogo aliniambia nataka nkuoe ila usiende kanisani wala msikitini nilishtuka na kushangaa sana nkamwambia hapana me sijalelewa hivo najua Mungu yupo na ananafasi katika maisha yangu basi nkakutana na mwingine wa imani yangu.
Ila hakunipa facts kabisa nkaelewa anasema ukubali tu.
Toa hilo somo japo kidogo.Ni somo refu kidogo na linahitaji uelewa. Ni vitu ambavyo ukishavijua, hakika utajiona mzembe sana maana ni mtego mdogo tu
Aisee hebu tupe Hilo somo hata kwa mistari michache.Ni somo refu kidogo na linahitaji uelewa. Ni vitu ambavyo ukishavijua, hakika utajiona mzembe sana maana ni mtego mdogo tu
Nimeowa nikiwa na miaka 18 and am happy kila ninapo waona watoto wangu kama vile tunalingana"Mwanaume kuoa na miaka 25 ni sawa na kuondoka night club saa tatu usiku"