Nyani Bishoo
JF-Expert Member
- Jul 7, 2023
- 353
- 573
Wanasemaga Basi Hawa usikute Kuna kihuni huko michezo yao ya kibaba baba kilipita nayo utamu ukazidi hakuona hata DamuLabda ilitoka na baiskeli[emoji18]
Wanasemaga Basi Hawa usikute Kuna kihuni huko michezo yao ya kibaba baba kilipita nayo utamu ukazidi hakuona hata DamuLabda ilitoka na baiskeli[emoji18]
Ndio maana yule jamaa yako ulivyomuhadithia ulivyotolewa bikra akakukimbia [emoji23][emoji23][emoji23] labda amedhani aliyekutoa amekosea njia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeona wengi wanatoa expirience zao waliokutana na bikira wakazitoa na waliotolewa
Comments za wengi humu wanasema bikira inahusanisha damu mara maagano kiufupi kuna utepe ambao ukiukata unatoa damu. Mimi nitawaeleza kwa namna yangu ilivyotokea.
Kwanza kabisaa sijapata hiyo damu inayoongelewa. Kwa mara ya kwanza kufanya sex sikutokwa na damu yoyote zaidi ya maumivu makali niliyoyapata…
Nataka nijue sasa Kama damu haijatoka inamaana huo utepe ulitoka tu wenyewe ama ( Hili swali niliulizwa na mwanaume wangu wa kwanza mbona Hakuna damu nikasema sijui kuhusu hiyo dhana)
Na vipi hiyo dhana ya wanaume kuamini kuwa mtu ili awe bikira lazima siku ya kwanza damu itoke
Je sisi tusiotokwa damu tunakuwa upande gani na je Kama damu haijatoka hilo agano mnalolisemea nyie ni lipi??
Nawasilishaa
Hahahaha Kwahiyo Mkuu unataka kusema iliyotolewa Ni Bikra Saidizi? HahahahahaNdio maana yule jamaa yako ulivyomuhadithia ulivyotolewa bikra akakukimbia [emoji23][emoji23][emoji23] labda amedhani aliyekutoa amekosea njia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah😂😂🤣🤣🤣🤣Wanasemaga Basi Hawa usikute Kuna kihuni huko michezo yao ya kibaba baba kilipita nayo utamu ukazidi hakuona hata Damu
Damu inategemea umri wa mhusika na maumbile ....kwa uzoefu wangu nimesha watoa bikra madem kadhaa ila walio toka damu hawazidi 3 [emoji16]Nimeona wengi wanatoa expirience zao waliokutana na bikira wakazitoa na waliotolewa
Comments za wengi humu wanasema bikira inahusanisha damu mara maagano kiufupi kuna utepe ambao ukiukata unatoa damu. Mimi nitawaeleza kwa namna yangu ilivyotokea.
Kwanza kabisaa sijapata hiyo damu inayoongelewa. Kwa mara ya kwanza kufanya sex sikutokwa na damu yoyote zaidi ya maumivu makali niliyoyapata…
Nataka nijue sasa Kama damu haijatoka inamaana huo utepe ulitoka tu wenyewe ama ( Hili swali niliulizwa na mwanaume wangu wa kwanza mbona Hakuna damu nikasema sijui kuhusu hiyo dhana)
Na vipi hiyo dhana ya wanaume kuamini kuwa mtu ili awe bikira lazima siku ya kwanza damu itoke
Je sisi tusiotokwa damu tunakuwa upande gani na je Kama damu haijatoka hilo agano mnalolisemea nyie ni lipi??
Nawasilishaa
Nina ujumbe wako kutoka juu. AsanteNimeona wengi wanatoa expirience zao waliokutana na bikira wakazitoa na waliotolewa
Comments za wengi humu wanasema bikira inahusanisha damu mara maagano kiufupi kuna utepe ambao ukiukata unatoa damu. Mimi nitawaeleza kwa namna yangu ilivyotokea.
Kwanza kabisaa sijapata hiyo damu inayoongelewa. Kwa mara ya kwanza kufanya sex sikutokwa na damu yoyote zaidi ya maumivu makali niliyoyapata…
Nataka nijue sasa Kama damu haijatoka inamaana huo utepe ulitoka tu wenyewe ama ( Hili swali niliulizwa na mwanaume wangu wa kwanza mbona Hakuna damu nikasema sijui kuhusu hiyo dhana)
Na vipi hiyo dhana ya wanaume kuamini kuwa mtu ili awe bikira lazima siku ya kwanza damu itoke
Je sisi tusiotokwa damu tunakuwa upande gani na je Kama damu haijatoka hilo agano mnalolisemea nyie ni lipi??
Nawasilishaa
iheshimu sana baiskeliBaiskel nimeendesha sana tangu nikiwa na Miaka 3 mpk nakuwa nimeitumia tena masafa marefu tusiseme bikira basi tuseme utepe et
Mwagia juice ya pilipili tuNifundishe wanavyotengeneza na Mimi nikafanyee