mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,606
- 4,396
Mimi
Mbona kuguna
Nimeshangaa tu mkuu😌😌Mbona kuguna
Ilitoka nikakufuta bila wewe kujuaNimeona wengi wanatoa expirience zao waliokutana na bikira wakazitoa na waliotolewa
Comments za wengi humu wanasema bikira inahusanisha damu mara maagano kiufupi kuna utepe ambao ukiukata unatoa damu. Mimi nitawaeleza kwa namna yangu ilivyotokea.
Kwanza kabisaa sijapata hiyo damu inayoongelewa. Kwa mara ya kwanza kufanya sex sikutokwa na damu yoyote zaidi ya maumivu makali niliyoyapata…
Nataka nijue sasa Kama damu haijatoka inamaana huo utepe ulitoka tu wenyewe ama ( Hili swali niliulizwa na mwanaume wangu wa kwanza mbona Hakuna damu nikasema sijui kuhusu hiyo dhana)
Na vipi hiyo dhana ya wanaume kuamini kuwa mtu ili awe bikira lazima siku ya kwanza damu itoke
Je sisi tusiotokwa damu tunakuwa upande gani na je Kama damu haijatoka hilo agano mnalolisemea nyie ni lipi??
Nawasilishaa
DAMU inatoka kwa bikra original sio ya kutengeneza
Ilitoka nikakufuta bila wewe kujua
Acha ubishi
Inawezekana Bikra yako ilitoka zamani Sana ukiwa mtoto mchanga wahuni wakapita nayo
Bikira yako ilitolewa muda mrefu na jini mahaba/wachawi/ popobawa
Kabisa kwasababu Bikra ikitolewa zile tissue huwa zinachanika na kusababisha damu itoke Sasa wewe nitashangaa damu isitokeHakuna
Hapo tumechekechwa mkuuNimeshangaa tu mkuu![]()
Kweli???? Naweza kuona kama dam haitoki?Nimeona wengi wanatoa expirience zao waliokutana na bikira wakazitoa na waliotolewa
Comments za wengi humu wanasema bikira inahusanisha damu mara maagano kiufupi kuna utepe ambao ukiukata unatoa damu. Mimi nitawaeleza kwa namna yangu ilivyotokea.
Kwanza kabisaa sijapata hiyo damu inayoongelewa. Kwa mara ya kwanza kufanya sex sikutokwa na damu yoyote zaidi ya maumivu makali niliyoyapata…
Nataka nijue sasa Kama damu haijatoka inamaana huo utepe ulitoka tu wenyewe ama ( Hili swali niliulizwa na mwanaume wangu wa kwanza mbona Hakuna damu nikasema sijui kuhusu hiyo dhana)
Na vipi hiyo dhana ya wanaume kuamini kuwa mtu ili awe bikira lazima siku ya kwanza damu itoke
Je sisi tusiotokwa damu tunakuwa upande gani na je Kama damu haijatoka hilo agano mnalolisemea nyie ni lipi??
Nawasilishaa
Labda ilitoka na baiskeli😌Hapo tumechekechwa mkuu