lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Hizo porojo ndizo zimeifanya nchi kukaa zaidi ya miaka 15 bila rais! Haya kwa vile ni nchi ya kidemkrasia na hapo ni wengi wape, Wahaya na Wachaga walishajikalia pembeni sasa unganisheni na Wasukuma. Mpaka huu ujinga utakapotutoka vichwani naamini wenzetu watakuwa wameshaanzisha makazi ya kudumu kwenye sayari ya Mars.Hivi NCHI hii MSUKUMA ni kosa kuwa Rais? Pia nani kawambieni Magufuli ni MSUKUMA?