Knock life
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 2,468
- 7,733
Ningeanza na kurudisha hela nilizokula hata Kama zimebaki chache .
Baada ya hapo ningekimbilia nje ya nchi.
Ahsante
Baada ya hapo ningekimbilia nje ya nchi.
Ahsante
😁😁😁Upeo mdogo sana ndio maana hauajiriki.
HakikaHuu ndo ushauri mzuri kwa haya mapandikizi.
Warudishe tu hela za Abdul maana atawadai kweli.
Hakuna watakalofanya kuwaondoa Wananchi walio serious kuibadilisha hii nchi kwenye agenda ya No Reform No Election.