Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
kumbe nini?
Kumbe hivyo
kumbe nini?
mie chit chat ngoja nisiende,nshazeeka sasa. ngoja mwanangu akudake,i will chop off ur head,lol!
toka hapa.Kumbe hivyo
toka hapa.
Sitoki
nitakunyanyua kwa kidole kimoja nikakutupe jukwaa la dini wewe.
Mimi napenda mwanamke awe na sifa hizi:-
- Asiwe mlevi ila mnyaji.
Nibebe kwa mbeleko
hahaaaaaaaaaaaaaaaa haufall ivivi tu jamani loh! unafall pale ulikopenda na umependa kwasababu ulizoziona na ambazo zimekupendeza ww na izo ndio tunaziita kua ulikua wazitaka na umezipata sawa mkuuunaweza kusema napenda .msichana wa hivi....
ukakutana wa tofauti na vigezo vyako na still 'ukampenda'
mapenzi ni upofu, na ndo maana kupenda inaitwa 'ku fall'
na sio kuamua......watu huwa 'tunaanguka' kwenye mapenzi...
kwangu hiyo hai be applicable loh! najua huwez amini ila huo ndio ukweli.......... i dnt give a damn shit abt his money .......i care abt being he and himselfsifa zoooote zitatajwa humu, binafsi njua ni moja tu ndo breki ya wanawake, mademu na wasichana wote...FEDHA, aka PESA. MSHIKO. Kigezo/sifa hii pekee hakuna mwanamke anayeweza kuikataa hata ikisimama peke yake na ina uwezo wa kukufanya 'ufyagie' wanawake wote Tanzania hii kasoro ndugu zako tu!
sio kusaula huo ndio ukweliNaona umeamua kusanua file la mwenza kabisa!!!
hubebeki wewe.
ooooooooh, haya wanaume semeni fasta fasta tutume maombi.
toka hapa.