Mimi ni polisi: Leo halali nyumbani

Mimi ni polisi: Leo halali nyumbani

Regimental Sergeant Major! wasiopitia majeshi utawajia tu!

Si kwa wote mkuu! nakumbuka nilipokuwa JKT kipindi kile kwenye somo la silaha. Alitufundisha SGT Miraji. Sasa siku anatufundisha SAR, yeye anaitamka 'ESIARAA'. Tukimuuliza, "spelling afande" anatujibu, "Steling ni bunduki nyingine, hii ni 'esiaraa' ".

Siku nilipokuja kugundua ESIARAA ni SAR nilicheka sana...

My point: Huenda huyu jamaa alishazoea tu kusema, 'SAA MEJA' tena hapo akidhani hiyo 'SAA' ni kwa sababu ya ule mfano wa saa wanayovaa mkononi.


Dah pole sana mic......ajali kazini ila Mchepuko kweli sio dili


You can say that again bro... #sio-DILI


Mentor Usharibu tena?

Hii ya zamani kidogo mkuu, salama lakini?? Munkari mzima?
 
Last edited by a moderator:
Dah Pole sana. Lakini Mentor hiyo ni fursa maana unavyojua kuandika unaweza hata tunga kitabu ' based on a true story'
 
Mm cjakuelewa kabixa nihadisi au unaomba ushauri.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Dah Pole sana. Lakini Mentor hiyo ni fursa maana unavyojua kuandika unaweza hata tunga kitabu ' based on a true story'

Coming to your nearest bookshop....

Si hakunaga marefu yasiyo na ncha!

.unapendaaaaaa.

Polisi na doria za ucku

.sio wote lakini!.

Mm cjakuelewa kabixa nihadisi au unaomba ushauri.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

.nakumbukia tu...
 
Bora ukamuoe yule Bint wa Waziri Mama yake aliyekudharau Lindoni
bado hajaolewa
 
Namuanzaje kwa mfano....
huwezi kushindwa afande kwani kwa drama ww ni kiboko hakuna mwanamke anyeweza mkataa mpiga kwata, (wana pumzi)
"We Mentor! Acha uongo! We unaaminije kuwa ni wa kwako! Huo ni uongo! Yani miaka yote hiyo mtu ana mtoto wako asikuambie! Nilimuomba Tinna tuwe tu marafiki kwa kipindi kile hadi nitakapojua mustakabali wangu na Kate, mama Nelson. maana hakuna mwanafunzi aliyekuwa akijua kuwa mimi ni askari na pia kwa kufahamu yeye alikuwa binti wa waziri, ingeweza kuniletea shida si tu shuleni, bali hata kazini.
 
Ni kawaida yenu polisi wote ni Malaya na kufa na ukimwi ni haki yenu
 
Ni kawaida yenu polisi wote ni Malaya na kufa na ukimwi ni haki yenu

Hawana cha kunijibu maana najua polisi wote ni watumia amri hata tongoza yao ni kiamri amri hivyo lazima wafe na hili lilinifanya nikatae kuingia Kwenye fani hiyo na Mke wangu nikamkataza pia
 
Siku zoooote hizi mi nilikua najua we na Dark city pamoja na bimkubwa FF ni wastaafu mnakula penshen, kumbe mzee bado upo kwenye payroll?
 
Back
Top Bottom