Mimi ni polisi: Leo halali nyumbani

Mimi ni polisi: Leo halali nyumbani

Asprin ndo nani wewe Mentor??????

Ndo mchepuko wako unayenitishiaga naye!


hahaa mama felixxx popote ulipo plzzz sikia kilio cha mentor...duh

.Akikataa natumai utanifikiria wewe, upweke unaboa.

Mkuu Mentor hii sisomi, maana najua haifiki mwisho. Mambo ya kuumiza nafsi kwa riwaya zisizo isha mbaya sana mkuu. Mpaka umalizie viporo vyko, hasa kisa cha mke wa waziri

.nkwela ntamaholo, nisamehe. Ile nilishindwa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Askari ndio zenu kwa kuchepuka hamjambo, maana nilikua na uncle huyo nae alikua moto chini enzi zake

.Hivi huu uchepukaji unaweza kweli ukautenga kwa kazi afanyayo mtu? Mi nahisi inatugusa wote.

hee!!! poleee, ila wanaume kuweni na uvumilivu hata kidogo.

.Ni tamaa tu CHIKITITA, maana hata wadada wapo wa hivyo! Kuna mdau hapo juu katolea mfano wa nesi.

Kasema Mama Felix.....msamehe!

.Cc: Madame S.

Labda, labda, labda atakurudia

.Labda...

jitahd umwome msamaha liz atakuelewa na uache michepuko

.Michepuko nimeacha mkuu! Msamaha ndo kanikatalia tangu miaka hiyo.

Huu sio uandishi wa polisi wa Tanzania..

.Sijakusoma mkuu #unamaanisha???!.

Teh teh baba Felix mtafute mkeo mrudiane

.Bado sijakata tamaa...mkeo miss neddy yuko wapi anisaidie.

RSM ni Regimental Surgely Major. wapo ktk vyeo vya JWTZ sijui huko polisi. wanakuwa kama na lisaa mkononi. lakini ni funzo kwa ambao hatujaoa na walio ktk ndoa

.Nafurahi umepata funzo mkuu! si lazima wote tupitie nilipopata mimi.

Pole sana kwa yaliokukuta,hii itakuwa ni fundisho kwa wale wenye michepuko.Hakuna siri katika mapenzi neno hili likikukaa akilini sawasawa utagundua kuwa michepuko sio dili na kama unabisha endelea nayo ila jua kuwa yatakukuta yaliomkuta afande,mimba zisizotarajiwa,ugomvi na familia yako,kutelekeza familia,kupata magonjwa ya zinaa,kuuwawa nk.nk.

.Cc: Wote walioona hadithi yangu ni ndefu mno kuisoma.
Bcc: mabazazi Kaizer, Watu8, KakaKiiza, Kipaji Halisi, Excel, Mashaxizo, Madame B, Mtambuzi, Maxence Melo, et al et al....
 
Last edited by a moderator:

Ndo mchepuko wako unayenitishiaga naye!




.Akikataa natumai utanifikiria wewe, upweke unaboa.



.nkwela ntamaholo, nisamehe. Ile nilishindwa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.



.Hivi huu uchepukaji unaweza kweli ukautenga kwa kazi afanyayo mtu? Mi nahisi inatugusa wote.



.Ni tamaa tu CHIKITITA, maana hata wadada wapo wa hivyo! Kuna mdau hapo juu katolea mfano wa nesi.



.Cc: Madame S.



.Labda...



.Michepuko nimeacha mkuu! Msamaha ndo kanikatalia tangu miaka hiyo.



.Sijakusoma mkuu #unamaanisha???!.



.Bado sijakata tamaa...mkeo miss neddy yuko wapi anisaidie.



.Nafurahi umepata funzo mkuu! si lazima wote tupitie nilipopata mimi.



.Cc: Wote walioona hadithi yangu ni ndefu mno kuisoma.
Bcc: mabazazi Kaizer, Watu8, KakaKiiza, Kipaji Halisi, Excel, Mashaxizo, Madame B, Mtambuzi, Maxence Melo, et al et al....

upweke na wakati una mchepuko
 
Last edited by a moderator:
.Akikataa natumai utanifikiria wewe, upweke unaboa.
Mentor alikushindwa mama felixxxx mi nitakuwezaa..???
 
.People change, don't u believe that my dear?.
mentor.. i dont believe that coz tabia ni kama ngozii ngumu kuibadilii
 
we mbe hujui kubembeleza mbona ungemuambia ulienda kumkamata jambazi guest angekubali tu
 
Baba felexxxxxxxx hapa ndio kazini baba Cc mkuu Mentor katika ubora wake
 
Baba felexxxxxxxx hapa ndio kazini baba sipati picha mijicho ilivyokutoka na kuona mara mia somalia kuna aman kuliko siku hio Cc mkuu Mentor katika ubora wake
 
:confused2:

.Kizungu ni shida?.


mentor.. i dont believe that coz tabia ni kama ngozii ngumu kuibadilii

.Hata ngozi hubadilika mamii...tusifanyiane ubaya.

we mbe hujui kubembeleza mbona ungemuambia ulienda kumkamata jambazi guest angekubali tu

.huko ni kubembeleza au kupalia makaa? Mwizi umejifunga taulo? Mkubwa wako wa kazi ana taarifa ama ulijipanga kazi?.


Khaa!! Hiki ni cheo anachopewa askari ambaye amewahi kufumaniwa. Ririzowea Sana Michepuko (RSM)
....just kidding

.Muone kwanza, ndo maana ukaitwa Rohombaya!.

Ungeufanya huo mchepuko kuwa njia rasmi

.Mkuu ni vile tu sijaandika hapa. Mchepuko wenyewe ulikuwa njia kuu ya mwingine huko mkoani kwake!.

Mentor Nina salami zako

.Zilete basi mkuu!.
 
Last edited by a moderator:
.Kizungu ni shida?.



.Hata ngozi hubadilika mamii...tusifanyiane ubaya.



.huko ni kubembeleza au kupalia makaa? Mwizi umejifunga taulo? Mkubwa wako wa kazi ana taarifa ama ulijipanga kazi?.




.Muone kwanza, ndo maana ukaitwa Rohombaya!.



.Mkuu ni vile tu sijaandika hapa. Mchepuko wenyewe ulikuwa njia kuu ya mwingine huko mkoani kwake!.



.Zilete basi mkuu!.
ulifanya sting operation mkuu
 
Back
Top Bottom