Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Niambie bibi Angelicious...
nilijua tu laizima utaje teamrafiki sijui imekufanyia nini?
kwani hii stori umeona ni ya kuwapa teamrafiiki au?
sisi hatuwezi kujifunza tatizo la huyu hivyo usifikiri
sisi ni michepuko wa haraka haraka
Mmh!! kesi gani tena hiyo?
Umefunuliwa pia ninaweza kuwa mchungaji?
Mie mzima...tongozo langu ulilipotezea hivihivi....
Sisi niwazoefu ili umkamate unahitaji kama soldiers 10000
Hatuliilii sisi watoto wa kiume
Uliponea chupuchupu afande, hivi ulivyohamishwa lindi ndo ulipelekwa kahama eeh!
Mentor niambie prodee, kimya....!
Story nzuri,,,,, ivi police nao ni triple w nauliza tu???
Loh!!!!! Tongozo lipi tena? Uliniambia nikutafute, mtoto wa watu wala sikuwa na hiyana nikakutafuta ukanipotezea..... kimtindo
khaaa!!!!!
kwani ndo imeisha mdogo wangu Mentor
Kama ulikuwepo tena yeye yuko pale salamanda
mbona imeisha haraka?
Mentor,,wewe si ulipona?Na mimi nitapona pia,acha kututisha!Hahahaaa,,umesema mke wa mtu sumu,nina panya nyumbani kwangu ngoja nitafute mmoja aje alale kwangu kama wiki hivi,tumalize kabisa tatizo la panya!
Jina lako limeappear kwenye #teambazazi , so either ucomfirm [to comfirm you may choose to remain silent!] or proof beyond reasonable doght kuwa wewe hauhusiki kwenye #teampendwa !
...
mwekundu na Mr Rocky tunaomba mwongozo.