Mimi ni Polisi: Hadi Lindi

Mimi ni Polisi: Hadi Lindi

Uliponea chupuchupu afande, hivi ulivyohamishwa lindi ndo ulipelekwa kahama eeh!
 
Una Kipaji Simulizi kikubwa sana

Asante sana mkuu...matukio ya dunia hii yamenilazimu kuwa hivi!

Uliponea chupuchupu afande, hivi ulivyohamishwa lindi ndo ulipelekwa kahama eeh!

Dada mkubwa ram, niliponea kwa kweli!

Baada ya Lindi nilienda Daslam kwanza...then Kahama...then Arusha...nitakusimulieni visa vyote hadi nilipoacha kazi!!!!
 
Last edited by a moderator:
ikawaje sasa Mentor mbona umeishia patamu mnoooo
 
Last edited by a moderator:
nilijua tu laizima utaje teamrafiki sijui imekufanyia nini?
kwani hii stori umeona ni ya kuwapa teamrafiiki au?
sisi hatuwezi kujifunza tatizo la huyu hivyo usifikiri
sisi ni michepuko wa haraka haraka



Teh teh nice story kwa #teamRafiki wajifundishe Tatizo lako Mentor ugonjwa wako unaitwa #Bazazi you are addicted kwenye wake za watu
Muulize Nicas Mtei au Excel mwenzio ana handle vipi
 
Last edited by a moderator:
Kaka naona ubazazi uliuanza kitambo...

Nakumbuka kisa cha Tanga, kingine kile cha Kigamboni kwa yule dada shabiki wa Arsenal, halafu cha yule binti wa Shinyanga na leo ni Mama Sharifa :A S 13:
 
hahahahhaha hapa ndo kuna wachombezaji bhna

End part sio ya kuhadisia kila mtu...

Kaka naona ubazazi uliuanza kitambo...

Nakumbuka kisa cha Tanga, kingine kile cha Kigamboni kwa yule dada shabiki wa Arsenal, halafu cha yule binti wa Shinyanga na leo ni Mama Sharifa :A S 13:

Ila nishaacha naomba ukubali hilo...siku hizi nimetulizana na mgamboshi wangu mmoja hivi sitaki shida kabisa!!!
 
......
Khaa! Mentor bado hujarekebisha haya maneno!

"Nikajiweka vizuri kwenye kiti
kusikiliza taarifa hizi. Dokta
akaendelea, "Upasuaji wa
mwisho uliofanyiwa ulituhitaji
kukuongezea damu. Kwa
bahati mbaya damu ile haikuwa imepimwa vya
kutosha kutokana na uharaka
wa hitaji lako la damu hivyo
uliwekewa damu
inayosadikiwa kuwa na virusi
vya UKIMWI. Nimekuita hapa ili tufanye vipimo zaidi
kuthibitsha hili."
Wasalaam wapendwa,
Mentor.
"
...
Hiyo red nikiiona or kuiskia huwa inaniharia siku!
 
hahahhaa haya bhana afu Mentor ndo uvivu gani kutubananisha wawili wawili kwenye quote


Sio uvivu ni utalamu!

Basi mi nitakungojea pale mahali..usikawie!!!

......
Khaa! Mentor bado hujarekebisha haya maneno!

"Nikajiweka vizuri kwenye kiti
kusikiliza taarifa hizi. Dokta
akaendelea, "Upasuaji wa
mwisho uliofanyiwa ulituhitaji
kukuongezea damu. Kwa
bahati mbaya damu ile haikuwa imepimwa vya
kutosha kutokana na uharaka
wa hitaji lako la damu hivyo
uliwekewa damu
inayosadikiwa kuwa na virusi
vya UKIMWI. Nimekuita hapa ili tufanye vipimo zaidi
kuthibitsha hili."
Wasalaam wapendwa,
Mentor."

...
Hiyo red nikiiona or kuiskia huwa inaniharia siku!

Hahahah Mashaxizo for as long as uko #teambazazi na kina watu8, KakaKiiza, Asprin Nicas Mtei Kaizer et al, lazima hayo maneno yakutishe!!!!
 
Last edited by a moderator:
Aisee, Mungu azidi kukupigania katika kazi yako ya upolisi


Asante sana mkuu...matukio ya dunia hii yamenilazimu kuwa hivi!



Dada mkubwa ram, niliponea kwa kweli!

Baada ya Lindi nilienda Daslam kwanza...then Kahama...then Arusha...nitakusimulieni visa vyote hadi nilipoacha kazi!!!!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom