daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 873
Ulitakiwa upige chapati au U-turn kwa huyo friend aliyeweka hiyo stutus b'liv anavua kiulaini!Mimi ni Polisi: Fastjet
30[SUP]th[/SUP] June 2014…facebook status ya rafiki yake Winnie
Vaileth Shirima (20[SUP]TH[/SUP] June 2014): "Wanaume wengine sijui wapoje! Kama huna hela kaa na masikini wenzako wasio na sura na shepu! Mwanaume huna hela unakazana kutaka kumhudumia Miss Tanzania…utaweza wapi!?? Unajifanya upo romantic unanibukia ndege za wanuka shombo mwaka kabla. Kama upo romantic nipigie simu leo niambie ‘babe nimekukatia ticket ya saa moja jioni jiandae uje Dar nina hamu na wewe!'#Kantangazeeee"
Wasalaam wapendwa,
Mentor.
Wanawake ni watu wa ajabu sana......