Basi kwisha kazi...yaani hilo ndo naishiwa nguvu kabisa
ukiweka morning glory utaamka tena kweli?
omerta wengi tu tupo hivo humu.hata walioolewa ni hivo hivo sema wanabebwa na mabeki tatu
ni vigumu sana kuchange ur habit though it is posible, so u need to sacrifice (kuacha kufanya uyapendayo ie huo uvivu kwa kujitahidi kufanya mazoezi na kuwa na marafiki wasio wavivu watakao kukeep active, p[ole sana missWadau nina shida moja katika maisha yangu. Mimi ni mvivu halafu huwa natake easy kila kitu, kitu ambacho kinanisababishia hasara nyingi maishani.
Kuhusu darasani nina akili za kutosha toka primary top ten ilikuwa hainikosi hata chuo sikuwahi kupata supp, hata kuna wakati somo moja lililamba robo tatu ya darasa, tena nilikuwa nimelazwa, nikatoka hospitali asubuhi nikaingia saa tisa kwenye paper nikapata zangu B. Niliosoma nao humu wanaweza kunikumbuka.
Sasa tatizo linakuja kwenye maisha, mimi ni mvivu. Kuamka nitashtuka tu saa kumi na moja najiongeza kidogo kidogo hadi inafika saa moja najiandaa kivivuvivu hivo hivo. Mara nivae nguo hii mara nione sijapendeza nivue hadi saa mbili natoka nduki kwenda job maana sio mbali, kwahiyo hapo naacha chumba kikiwa rafu maana muda wa kupanga na kutandika kitanda unakuwa hamna hadi nirudi jioni.
Nikialikwa kwenye party najiandaa kivivu hadi wakati mwingine naacha tu maana muda unakuwa hamna tena sherehe imeisha.
Nikienda benk sihesabu hela, jana nimeibiwa elf 10 duka la kubadilishia fedha maana sikuhesabu, kwenye daladala nilipewa hela feki hivi hivi maana hata sikuangalia.
Naombeni ushauri nifanyeje maana mimi mtu mzima nahitaji kuwa na familia na kuwa mama bora. Ndio maana nilitamani kuadopt mtoto ili niwe busy nae, haya maisha ya kuishi peke yangu yananilemaza jamani nifanyeje?
Natamani kuwa active. Hapa nimeandika hivi nimechoka kweli yaani.
😵🙄🙁😕Kwahiyo hata nguo za ndani ni mvuvi kufua? Unaivaa kaa mara 4 kwa wiki?
MHHHH,ok nenda USA River,Boma ng'omba na Mbeya uone wanawake wenzio wanavyo pambana,hata hivyo,kama una pesa wekeza kwenye shughuli nyingi za kufanya,kama uko hivyo na hautafuti solution basi unatakiwa ufanye Kick the Clock,unapoanza kila jambo weka Muda wa kumaliza huku ukiwa na saa yako mkononi,andika malengo ya siku wiki na hata mwezi,kama huwezi nitafute nikupangie Miradi Midogo itayokuweka Busy mpaka uvivu utakuisha.Hata hivyo jifunze kwa kusoma vitabu vya wanawake waliofanikiwa,Je,unadhani kwanini wanawake wengi busy hutaona hata wakihangaika na saloon,its all about Goals,Kama hupendi kujifunza utachelewa,anzia Mazingira yanayokuzunguka.Wadau nina shida moja katika maisha yangu. Mimi ni mvivu halafu huwa natake easy kila kitu, kitu ambacho kinanisababishia hasara nyingi maishani.
Kuhusu darasani nina akili za kutosha toka primary top ten ilikuwa hainikosi hata chuo sikuwahi kupata supp, hata kuna wakati somo moja lililamba robo tatu ya darasa, tena nilikuwa nimelazwa, nikatoka hospitali asubuhi nikaingia saa tisa kwenye paper nikapata zangu B. Niliosoma nao humu wanaweza kunikumbuka.
Sasa tatizo linakuja kwenye maisha, mimi ni mvivu. Kuamka nitashtuka tu saa kumi na moja najiongeza kidogo kidogo hadi inafika saa moja najiandaa kivivuvivu hivo hivo. Mara nivae nguo hii mara nione sijapendeza nivue hadi saa mbili natoka nduki kwenda job maana sio mbali, kwahiyo hapo naacha chumba kikiwa rafu maana muda wa kupanga na kutandika kitanda unakuwa hamna hadi nirudi jioni.
Nikialikwa kwenye party najiandaa kivivu hadi wakati mwingine naacha tu maana muda unakuwa hamna tena sherehe imeisha.
Nikienda benk sihesabu hela, jana nimeibiwa elf 10 duka la kubadilishia fedha maana sikuhesabu, kwenye daladala nilipewa hela feki hivi hivi maana hata sikuangalia.
Naombeni ushauri nifanyeje maana mimi mtu mzima nahitaji kuwa na familia na kuwa mama bora. Ndio maana nilitamani kuadopt mtoto ili niwe busy nae, haya maisha ya kuishi peke yangu yananilemaza jamani nifanyeje?
Natamani kuwa active. Hapa nimeandika hivi nimechoka kweli yaani.
Mim n ke nafanya kaziWewe ni me au ke?
Unasoma au unafanya kazi?
asante dogoDuh!, pole sana cstaa ila ushauri wangu kajiunge na jkt utakua poaa tuu
Kila siku nasema hivo et nikimaliza Kula tu naosha vyombo but nikimaliza tu naanza kujishawishi et kwanini najitesa c nipumzike kidogo au Nashika simu ad nasahauahahaa osha vyombo hapo hapo ukimaliza kula
Nikikuoa utaacha uvivuWadau nina shida moja katika maisha yangu. Mimi ni mvivu halafu huwa natake easy kila kitu, kitu ambacho kinanisababishia hasara nyingi maishani.
Kuhusu darasani nina akili za kutosha toka primary top ten ilikuwa hainikosi hata chuo sikuwahi kupata supp, hata kuna wakati somo moja lililamba robo tatu ya darasa, tena nilikuwa nimelazwa, nikatoka hospitali asubuhi nikaingia saa tisa kwenye paper nikapata zangu B. Niliosoma nao humu wanaweza kunikumbuka.
Sasa tatizo linakuja kwenye maisha, mimi ni mvivu. Kuamka nitashtuka tu saa kumi na moja najiongeza kidogo kidogo hadi inafika saa moja najiandaa kivivuvivu hivo hivo. Mara nivae nguo hii mara nione sijapendeza nivue hadi saa mbili natoka nduki kwenda job maana sio mbali, kwahiyo hapo naacha chumba kikiwa rafu maana muda wa kupanga na kutandika kitanda unakuwa hamna hadi nirudi jioni.
Nikialikwa kwenye party najiandaa kivivu hadi wakati mwingine naacha tu maana muda unakuwa hamna tena sherehe imeisha.
Nikienda benk sihesabu hela, jana nimeibiwa elf 10 duka la kubadilishia fedha maana sikuhesabu, kwenye daladala nilipewa hela feki hivi hivi maana hata sikuangalia.
Naombeni ushauri nifanyeje maana mimi mtu mzima nahitaji kuwa na familia na kuwa mama bora. Ndio maana nilitamani kuadopt mtoto ili niwe busy nae, haya maisha ya kuishi peke yangu yananilemaza jamani nifanyeje?
Natamani kuwa active. Hapa nimeandika hivi nimechoka kweli yaani.
mhhhKila siku nasema hivo et nikimaliza Kula tu naosha vyombo but nikimaliza tu naanza kujishawishi et kwanini najitesa c nipumzike kidogo au Nashika simu ad nasahau
Sent from mTalk
Mim n ke nafanya kazi
Sent from mTalk