Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 24,865
- 89,801
Sawa mume wanguMimi nakusubiria tu tufunge ndoa.
Sawa mume wanguMimi nakusubiria tu tufunge ndoa.
naona uvivu hata kudateMiss Natafuta...
Kumbe ndio maana unaishi kutafuta na haupati...!
Kipe kila kitu unachokifanya uzito then do one thing at a time
Bado
Kuna order yangu ya ndoa nini mkuu??
usafi muhimu mkuu mimi shida yangu asubuhiPole sana single lady wengi ni wa aina yako
uzuri umejitambua na ukishajua ugonjwa ni rahisi kuutibu......
Nilishawahi kuwa na rafiki yangu kiukweli wka malezi yangu na yeye nilikuwa namshangaa sana maana ule haukuwa uchagu was too much..... choo kinakuwa cheusi tandu za buibui mpka mlangoni vumbi ndio kabisaaa unaabakisha nyayo.
Menigne ni aibu kwa kweli. Na bado anakuambia nataka kuolewa apaa
uvivu hadi kitandani au ?
tutaamka saa nane mchanaTungeoana nyumba ingekua majanga, Mara nyingi hata safari naweza kuachwa au naingia last minutes. I am struggling niwe punctual na proactive, kwa sasa full reactive.
hao marafiki nitawatoa wapi wakati tunafanana tu au vile wao hawasemi?Pendelea kufanya mazoezi, tafuta marafiki wanaopenda mazoezi utafadika vingi kuepuka uvivu, akili na mwili kuchangamka na afya nzuri.
*uvivu ni dalili ya kuridhika na maisha uliyoishi*
hapana mkuu nimekulia kijijini sema tu maisha haya sijui imekuajePole sana, jitahid kujibiidisha katika mambo yako.Malezi ya utotoni inawezekana yamekuathiri
Mkuu huyu ni mke wangu aisee! Acha kabiaa.Bado
Kuna order yangu ya ndoa nini mkuu??
Kwan na wwe upo single ?
soma msitari wa kwanzaWe wa kike au kiume![]()
![]()
![]()
![]()
teh fumaniziMkuu huyu ni mke wangu aisee! Acha kabiaa.
nimesema waliofukuzwa udom ! wale mkuu aliowaita vi...Tuombe msamaha tuliosoma UDOM!!!!
Umenikwaza
Unanitia hasiranaona uvivu hata kudate
hivi mkuu unaweza tu kuamua kufanya mazoezi ? utafanya siku mbili tatu unarudi pale pale .Simple. Kwanza anza kurekebisha the way unavyofiri.. kuchukulia vitu kirahisi. Jizoeshe kufanya mazoezi... fanya mazoezi everyday.
Jitahidi sana ukazanie mazoezi... itakusaidia sana.. maana kama umefika umri wa kuwa na familia alaf bado uvivu unakusumbua ,haitakuwa vizuri.
yaani hilo ndo naishiwa nguvu kabisaHata dushe likizama unakuwa kivivu?