Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,504
- 12,176
Sawa Mr.devil.Baada ya kuolewa utakuja na NIA YAKO NI AKUCHOME DOLE ILI AKUPE NYUMBA
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu wewe ndiye utakuwa baba wa nyumba ila kama unashindwa kufanya maamuzi ya mambo binafsi kama hayo itakuwa hatari sanaa mkuu nakushauri fanya jambo hilo kwa uwezo wako binafsi maana mambo ya imani na dini yanachanganya sana, ukiamua kuwa mkristo uwe kweli mkristo ukikataa kataa kabisa.Habari members!!
Kama kichwa habari kinavyosema,
Mimi ni MUISLAMU MWANAUME imetokea kumpenda binti wa kikristo amezaa mtoto mmoja.
Na huyo binti ni mfanyakazi wa bank fulani hapa Tanzania.
Yupo pekeake anaishi.
Imetokea yule binti kumpenda na Mimi kanipenda ila tatizo ananiambia kuwa nikitaka kuwa naye nibadili DINI niwe mkristo.
Je mnanishaurije? Na amenilingishia anataka kununua gari la kutembelea na juzi juzi alikuwa akijifunza gari ili baadae anunue gari lake la kutembelea.
Na Mimi nia yangu kumpata binti mwenye pesa na nimempata ila ni mkristo nifanyaje?
Ushauri tafadhalii.
Mfanyematusi umjaze mimba kaka zake watalea wajombaHabari members!!
Kama kichwa habari kinavyosema,
Mimi ni MUISLAMU MWANAUME imetokea kumpenda binti wa kikristo amezaa mtoto mmoja.
Na huyo binti ni mfanyakazi wa bank fulani hapa Tanzania.
Yupo pekeake anaishi.
Imetokea yule binti kumpenda na Mimi kanipenda ila tatizo ananiambia kuwa nikitaka kuwa naye nibadili DINI niwe mkristo.
Je mnanishaurije? Na amenilingishia anataka kununua gari la kutembelea na juzi juzi alikuwa akijifunza gari ili baadae anunue gari lake la kutembelea.
Na Mimi nia yangu kumpata binti mwenye pesa na nimempata ila ni mkristo nifanyaje?
Ushauri tafadhalii.
Totoo anataka mchumba!
Habari members!!
Kama kichwa habari kinavyosema,
Mimi ni MUISLAMU MWANAUME imetokea kumpenda binti wa kikristo amezaa mtoto mmoja.
Na huyo binti ni mfanyakazi wa bank fulani hapa Tanzania.
Yupo pekeake anaishi.
Imetokea yule binti kumpenda na Mimi kanipenda ila tatizo ananiambia kuwa nikitaka kuwa naye nibadili DINI niwe mkristo.
Je mnanishaurije? Na amenilingishia anataka kununua gari la kutembelea na juzi juzi alikuwa akijifunza gari ili baadae anunue gari lake la kutembelea.
Na Mimi nia yangu kumpata binti mwenye pesa na nimempata ila ni mkristo nifanyaje?
Ushauri tafadhalii.
Mauti inahusiana nini na kuoa na kuolewa?Qul nafsi dhaalikatul maut
Wewe mwenyewe upo kamachumu ila unatumia kifaa kilichokuja na meli kuingilia jfMauti inahusiana nini na kuoa na kuolewa?
ukute wewe uko nanjilinji uko unaandika lugha za kuletewa na ngalawa
Wewe mwenyewe upo kamachumu ila unatumia kifaa kilichokuja na meli kuingilia jf
Kwa mwanaume umri Huo kufanya maamuzi ha Aina hiyo Ni Kama kamali akue KwanzaTotoo anataka mchumba!