Wewe umesema west yeye akadakia fasta fasta east! Hizo mzumbe un,diamond, olimpio hata hazifahamu! Kama unabisha muulize muhimbili, Tumain hosp au makao makuu ya JWTZ yapo pande zipi!
Najaribu ku-imagine jina lako likiwa (kwa mfano): Maganga Msangi!
Aah Boflo bana hasomi anakaa tu mitaa ile ya mfaume kabla hujachepukia barabara ya Mzumbe....pale kuna chipsi vumbi, basi nyumba inayofuata...lolPale Mzumbe naendaga sana, Si rahisi kumjua huyo jamaa, labda kwa sura tu
Unamsalimia bofloooooooooooooooooooo??
Aah Boflo bana hasomi anakaa tu mitaa ile ya mfaume kabla hujachepukia barabara ya Mzumbe....pale kuna chipsi vumbi, basi nyumba inayofuata...lol
Haya basi mi nikija Dar ntakutafuta niku introduce kwake tuwe ndugu zaidi, si ndio B?
Ohoo Rejao Boflo wa upanga east huyo si unacheki mwenyewe pale mzumbe anaendaga sana tu....Wewe umesema west yeye akadakia fasta fasta east! Hizo mzumbe un,diamond, olimpio hata hazifahamu! Kama unabisha muulize muhimbili, Tumain hosp au makao makuu ya JWTZ yapo pande zipi!
Kwa muchacho ndo hapo palipofanyiwa renovation karibuni?I mean area yote hiyo, mtaa wa mfaume, pale kibanda cha chakula na chips vumbi wanapokula wanafunzi wa Mzumbe, Kwa muchacho alipohamia sasa, huwa ninakuweko sana
Kwa muchacho ndo hapo palipofanyiwa renovation karibuni?
Hahah...yaelekea wewe una rafiki yako anayeishi mitaa hiyo! Mi nimezaliwa na kukulia sea view! Au unataka nianze kukutajia majirani zangu!!Unachekesha kama avatar yako....
Unajua Tumaini Hospital na makao makuu ya Jeshi tu??? au ndio unapotibiwa ukitoka Kimara?
Wewe hukujui kabisa huku, bht namuamini
Anafahamu tu mzumbe huyo! Kwingine hapafahamu...hebu muulize shule mbili za secondary maarufu zinazofuatana zilizo mitaa hiyo kama anazifahamu!!Ohoo Rejao Boflo wa upanga east huyo si unacheki mwenyewe pale mzumbe anaendaga sana tu....
Anafahamu tu mzumbe huyo! Kwingine hapafahamu...hebu muulize shule mbili za secondary maarufu zinazofuatana zilizo mitaa hiyo kama anazifahamu!!
Aah sio hapo bana, mbona hapo mbali sana na kona ya mzumbe? Hapo si karibu na miembe ya gereji?Ukitoka corner ya Mfaume na mzumbe, kwa mbele kidogo ndio kwa muchacho, ni muda sasa toka wamefanya renovation..
Ni karibu na jamati ya wahindi wa Ismailiya, Jioni watu wengi wanajaa siku hizi pale, Kuna washabiki wa Liverpool
Hahahaaa Boflo kwa mafiksi mi ndo nakupendeaga aiaee...Agakhan, Olympio, Shabaan robert,
Sasa mbele ya Mzumbe kuna kanisa la walokole, wameweka Atm, kuna demu nampeleka pale kusali
Wewe itakuwa mmeuza nyumba yenu ya msajili, sasa hivi umehamia Kimara
Aah sio hapo bana, mbona hapo mbali sana na kona ya mzumbe? Hapo si karibu na miembe ya gereji?
Hizo chipsi vumbi ni ukitokea tu kona ya mzumbe kuingia barabara ya mfaume, kulia kwako mwishono ni ukuta wa shaaban robert na kushoto ukishuka ndo utakuja kwa muchacho wako.
Kwa Bush je unapajua pale mtaa wa mazengo?
Hahahah...mkuu kweli upanga huijui! Hata hizo shule za secondari huzifahamu?????Agakhan, Olympio, Shabaan robert,
Sasa mbele ya Mzumbe kuna kanisa la walokole, wameweka Atm, kuna demu nampeleka pale kusali
Wewe itakuwa mmeuza nyumba yenu ya msajili, sasa hivi umehamia Kimara