Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,335
- 5,014
- Thread starter
- #21
Tayari angalia PM yako mkuuNjoo dm fasta
Tayari angalia PM yako mkuuNjoo dm fasta
Dah Haya maisha tabu, kazi shida kuipata na ukiipata napo hyo kazi shida km hvyo kukimbiza meza migambo wakitokea aisee [emoji26]unaweza kukimbiza meza mgambo wakija? nikuunganishe na dada ana meza lkn yeye anafanya mpesa. ofisi iko road mtaa wa masasi kkoo
Na muda huo apo juu ya meza Kuna simu za thamani!!!!Dah Haya maisha tabu, kazi shida kuipata na ukiipata napo hyo kazi shida km hvyo kukimbiza meza migambo wakitokea aisee [emoji26]
Nipatie namba zako dm tuongee fasta bwana mdogo..Heshima kwenu wakuu, mimi kijana mwenye umri wa miaka 24, ni fundi simu mzoefu kwa zaidi ya miaka miwili, nina uwezo mzuri wa kutengeneza simu aina zote kwa software na hardware.
Nahitaji kazi wakuu au kama kuna mtu anaweza kuwekeza mtaji tukafungua ofisi tukawa tunagawana percentage pia nitashukuru sana
Naomba kuwasilisha.
Asante kwa ushauri mkuu, barikiwa.Jiajiri, halafu tatizo lako umeoa mapema ukiwa hujawa fit kifedha.
Barikiwa sana kwa ushauri,Ufundi tayari ni ajira, unataka uajiriwe na nani tena?. Hapa tafuta tu ushauri wa vifaa vya ufundi na wapi unaweza weka kijiwe cha ufundi simu uanze kupiga pesa kwa urefu wa kamba yako.
Mpelekee simu mbovu kama unayoSijaelewa kabisa, wewe ni fundi halafu unaomba kazi? Kazi ya ufundi au tofauti na ufundi?
😎😎😎😎mkuu hajataja mke bhana!!!mbona hivo???Jiajiri, halafu tatizo lako umeoa mapema ukiwa hujawa fit kifedha.
Sio lazima ataje mke....... lakini ndio tatizo lake hilo kaoa akiwa bado hajawa fit kifedha.... kama ni uongo abishe mwenyewe.😎😎😎😎mkuu hajataja mke bhana!!!mbona hivo???
Wewe sio mhitaji wa fani yangu ni sababu unakomenti irrelevantSio lazima ataje mke....... lakini ndio tatizo lake hilo kaoa akiwa bado hajawa fit kifedha.... kama ni uongo abishe mwenyewe.
Mpelekee simu mbovu kama unayo
Zitume tu kwa posta zitafika mkuuSimu mbovu ninazo nyingi sana lakini jamaa yuko mbali.
Duh!unaweza kukimbiza meza mgambo wakija? nikuunganishe na dada ana meza lkn yeye anafanya mpesa. ofisi iko road mtaa wa masasi kkoo
Mkuu hapo Kariakoo nafasi zipo za kuweka meza?unaweza kukimbiza meza mgambo wakija? nikuunganishe na dada ana meza lkn yeye anafanya mpesa. ofisi iko road mtaa wa masasi kkoo
Unataka meza kariakooMkuu ulifanikiwa?
Zinapatakana?Unataka meza kariakoo
Ndio,Ingia kariakoo zunguka mpaka utakapoona site inayokufaa alafu muone muhusika muone mnafanyajeZinapatakana?
Ndio,Ingia kariakoo zunguka mpaka utakapoona site inayokufaa alafu muone muhusika muone mnafanyajeZinapatakana?