Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,335
- 5,014
- Thread starter
- #41
Ndio,Ingia kariakoo zunguka mpaka utakapoona site inayokufaa alafu muone muhusika muone mnafanyajeZinapatakana?
Ndio,Ingia kariakoo zunguka mpaka utakapoona site inayokufaa alafu muone muhusika muone mnafanyajeZinapatakana?
Sawa mkuu.Ndio,Ingia kariakoo zunguka mpaka utakapoona site inayokufaa alafu muone muhusika muone mnafanyaje
kwa uzoefu wangu kwa sehemu nyingi wanaoweka meza pembezoni mwa barabara zinazoingia mitaa ya kariakoo hawalipi chochote ndio maana mgambo wanawandama.Mkuu hapo Kariakoo nafasi zipo za kuweka meza?
Huwa wanalipa kodi?
Kama wanalipa Ni kiasi gani?
Kwa muda gani?
meza ni nyepesi na ndogo sana, mgambo wakija unanyanyua na mkono mmoja na mwingine umeshika benchi lako na mwavuli 😄Duh!
Apo itabidi blower niwe navaa shingoni ili nikianza kutimua mbio nisiache kitumeza ni nyepesi na ndogo sana, mgambo wakija unanyanyua na mkono mmoja na mwingine umeshika benchi lako na mwavuli [emoji1]
Blower ya kazi gani wakati 90% ya watu wenye vimeza karikoo awana umeme kazi yako kubwa wewe itakuwa kubadilisha vioo ukiwa na kipengele cha kuchoma utaingia ndani kwa mafundi wenzakoApo itabidi blower niwe navaa shingoni ili nikianza kutimua mbio nisiache kitu
YouTube mbona watu wanafundisha bure,hiyo Dola 800 karibia m2 kabisa....hiyo ananunua mavifaa kibao,mi naona YouTube Ni chuo Ada Ni bando.Ufundi simu unachukuliwa easy sana mimi ni fundi simu niko dodoma kuna mshikaji namuamini sana kwenye kutengeneza iPhone ni best dodoma hii juzi nilikuta analipia dollar 800 kujifunza kutengeneza face id full course online
Hapo unakuwa dalali,ukitaka sehemu yenye Moto unapata?Blower ya kazi gani wakati 90% ya watu wenye vimeza karikoo awana umeme kazi yako kubwa wewe itakuwa kubadilisha vioo ukiwa na kipengele cha kuchoma utaingia ndani kwa mafundi wenzako
Hii nilionaga miaka ya 2012....jamaa walikuwa wanauza saa,chaja,na urembo Sasa wakuja mgambo unaona jamaa wanakimbia na meza mkononi,na kule posta pale maeneo ya ofisi ya posta na JB Belmont hotel walikuwepo wakina mama wanauza maandazi wakija mgambo wanapakia maandazi yote kwenye Gari Lao.meza ni nyepesi na ndogo sana, mgambo wakija unanyanyua na mkono mmoja na mwingine umeshika benchi lako na mwavuli 😄
Riadha Sasa.Apo itabidi blower niwe navaa shingoni ili nikianza kutimua mbio nisiache kitu
Zipo nyingi mnoHapo unakuwa dalali,ukitaka sehemu yenye Moto unapata?
Bei gani?Zipo nyingi mno
Mkuu Kama nataka kuja kufanya software tu,naweza kupata eneo ambalo naweka laptop yangu ka eneo kadogo naweza pata kwa Bei gani?Zipo nyingi mno
Elfu2 tu mzee simple mkishazoeana na washkaji hata bure wanakuchomea kama kazi ni nyepesiBei gani?
Wanalipaje?
Inategemea mkuu uwez kukadiriaMkuu Kama nataka kuja kufanya software tu,naweza kupata eneo ambalo naweka laptop yangu ka eneo kadogo naweza pata kwa Bei gani?
Elfu2 tu mzee simple mkishazoeana na washkaji hata bure wanakuchomea kama kazi ni nyepesi
Hahah utaunguza shingo wewe.Apo itabidi blower niwe navaa shingoni ili nikianza kutimua mbio nisiache kitu