Chotti de Alba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 348
- 106
Sasa kama ni mchumba wako na mnapendana unamtunzia nani kama mwenyewe anataka kula msosi ungali jikoni!!!!!!
nyieee! mkishabeua tu mnasahau kama mtoto wa watu ulimchinja mwenyewe!
Sasa kama ni mchumba wako na mnapendana unamtunzia nani kama mwenyewe anataka kula msosi ungali jikoni!!!!!!
Umenigusa sana na hii post, kwani hata mimi ninampenzi mwaka wa pili hataki kutoa tunda' tabia zenu zinafanana
Endelea kukataa tu. Kwani uchumba ni mpaka akufunue chupi? Huyo anakutaka tuu amalize hamu bila kulipa baasi. Nani alikuambia sex ni kufanya na kila mtu?
Mpe jamaa yako mzigo ki nguo nguo kama zamani tulipokuwa wadogo. kwani hiyo njia haina madhara na utabaki Big K kam unavyotaka mrembo.
Kwanza bikra zinasumbua sana...
No wonder hiki ni kizazi cha ngono!
Ndo maana mtu akiwa bikra wanamuona kama ni kilema au ana kasoro!
So sad!
Lol kwani kuna lingine zaidi ya hlo ??
Picha plz!
Nipo ibadani please