Mimi ni bikra lakini

Mimi ni bikra lakini

Kubanjuka ww haukufai...hebu jarbu kua hata sista wa vilemba!usitoe kabsa kidudu chako mamieee!
 
Mimi na mpenzi wangu
tunapendana sana na ananitaka tufanye mapenzi na mi sitaki mpaka tuoane,
nifanyeje? ushauri jamani.

komaa mwanangu mpaka kieleweke. leo humu humu washasema huwa hatumaanishi ..hebu kazana ututoe kimasomaso mtoto mzuri

cc: Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Mimi na mpenzi wangu tunapendana sana na ananitaka tufanye mapenzi na mi sitaki mpaka tuoane, nifanyeje? ushauri jamani.

Siku hizi mnatengeza bk za kichina tunalitambua sana hilo.
 
Mimi na mpenzi wangu tunapendana sana na ananitaka tufanye mapenzi na mi sitaki mpaka tuoane, nifanyeje? ushauri jamani.

Fanya kama wafanyavyo waarabu, utaolewa na bikira moja! Teh teh
 
komaa mwanangu mpaka kieleweke. leo humu humu washasema huwa hatumaanishi ..hebu kazana ututoe kimasomaso mtoto mzuri

cc: Eiyer

Si unaona keshakuja hapa kuomba ushauri?
Ukiona hivyo soon atatoa mzigo tu

Tatizo akitoa haji hapa kusema
We subiria tu
CC: Mtambuzi .....!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kubanjuka ww haukufai...hebu jarbu kua hata sista wa vilemba!usitoe kabsa kidudu chako mamieee!

Una balaa wewe...!!!!!!!!!

Yaani hutaki mwenzako apate raha unazopata wewe?
Muone kwanza!!!!!!!!!!
 
Baba paroko Eiyer njoo uone huku!
Halafu utoe ushauri kwa upendo bint wa watu bikra huyo usimtishe akakimbia bure!!!

Sasa kama unajua kuwa wewe ni bikra na hutaki kufanya mapenzi kabla ya "ndoa" unakuja hapa kuuliza nini?

Halafu wewe nawe!!!!!
Mbona hujaniambia kuhusu ile shughuli?
Au mmeahirisha?
 
Sasa kama unajua kuwa wewe ni bikra na hutaki kufanya mapenzi kabla ya "ndoa" unakuja hapa kuuliza nini?

Halafu wewe nawe!!!!!
Mbona hujaniambia kuhusu ile shughuli?
Au mmeahirisha?

Ulikataa huduma yetu na kuiita bora huduma
 
Mh kama wewe ni bikra na hutaki kuipoteza bikra yako why did u get ur self into a relationship???


Ulidhani huyo kaka anataka sura yako??

Mh... lazma ukiwa kwenye uhusiano udinyane kweli? Kizazi hiki, lol
 
sidhani kama ni kitu kizuri kusema wewe ni bikra ,,,,,,,,,,,,any way endelea kukataaa na mpaka hapo mtakapo oana....... kuwa makini itatolewa soon na ambaye siyo mchumba wako huyo ..............
 
Back
Top Bottom