Mimi ni bikra lakini

Ukikibania sana ki papuchi chako kitachacha na utajuuuta kutokipa haki yake mapeema,
 
naungana na mwana JF mwenzangu aliyepost leo asubuhi tutakoma kwa posts za kitoto mpaka hapo shule zitakapofunguliwJANUARY. WATOTO NENDENI TUITION, ACHENI MCHEZO HII DUNIA INAWAKA MOTO!

Mkuu washafunga shule hivi vitakuwa vya kawaida mpaka januari tuvizoee tu
 
Sasa kama ni mchumba wako na mnapendana unamtunzia nani kama mwenyewe anataka kula msosi ungali jikoni!!!!!!
 
Mh kama wewe ni bikra na hutaki kuipoteza bikra yako why did u get ur self into a relationship???


Ulidhani huyo kaka anataka sura yako??
 
Back
Top Bottom