Something is better than nothing ujue!
Sometime you have to stick on nothing coz something sometime kills!
Kalaghabaho!
Leo hakuna baridi kipande hiyo?
Hako kajua kananiudhi!!!!!Habari ndio hiyo
Baridi leo ipo kwa sana tu ila jana usiku ilikuwa balaa
Leo kajua kidogo kana DIPU DIPU ....LOL!!!!!
Hako kajua kananiudhi!!!!!
Hiyo baridi izidi tu soon uta beg for bora huduma
Ushindwe na ulegee
Hiyo bora huduma na ipite mbali sana
Na kajua kawake sana maana wewe unajidai mchoyo na huduma yako
Muone kwanza!!!!!
Ngoja tuone kama kiu ya juice inamalizwa na soda only because vyote ni vimiminika!!!!
Ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!
Hujui kuwa ukiwa na kiu na uknywa mbege kiu inaisha?
CC Mkirua gfsonwin miss chagga Mentor !!!!!!!
Utaishia kujidanganya tu!
Mbona mi bikra name nipo online full time
Mimi na mpenzi wangu tunapendana sana na ananitaka tufanye mapenzi na mi sitaki mpaka tuoane, nifanyeje? ushauri jamani.
Ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!
Hujui kuwa ukiwa na kiu na uknywa mbege kiu inaisha?
CC Mkirua gfsonwin miss chagga Mentor !!!!!!!
Utaishia kujidanganya tu!
Mh... lazma ukiwa kwenye uhusiano udinyane kweli? Kizazi hiki, lol
Mh... lazma ukiwa kwenye uhusiano udinyane kweli? Kizazi hiki, lol