Mimi nashauri CHADEMA ifutwe

Mimi nashauri CHADEMA ifutwe

Hebu watanzania tuwe makini tuachane na hawa Chadema kwa siasa zao za fujo. Mbona kunavyama vingi sana lakini Chadema ndio wanakufa zaidi? NCCR was powerful but mauaji hayakuwepo. Mauwaji yanatokea CHADEMA wanavuluga uchunguzi. Mimi nashauri CHADEMA ifutwe. Maandamano ya nini? Hii nchi inatawaliwa na waafrika tena kwa kupokezana vijiti. Kwani uhuru maana yake nini? Watawala si malaika. Mimi naona CHADEMA ni kivuruge tu. Watamani maisha ya Siria, Libya, Misri, na Tunisia. Kwanini wasiende huko wajifunze madhara ya maandamano? Political unrest ikitokea si CCM wala CHADEMA itabakia. Wanachi watakufa sana. Hebu ni wapi au nchi gani amabapo fujo imekuwa suluhisho la matatizo?
Ndugu yangu wewe hujielewi na unatakiwa kupimwa akili
 
Kuna tatizo mahali!
d65a157ac0e8d6e701f04f6941a065f4.jpg
 
Japo sitetei mikakati mibovu ya CHADEMA ya hivi karibuni ila wewe ni MPUMBAVU na unadhalilisha jina Pascal!
 
Nipe jibu la maana ya uhuru. na unipe evidance mahari gani fujo imekuwa suluhisho la matatizo popote duniani. CHADEMA mnatamani Tanzania iwe kama Siria. Fujo haija3wahi kuwa suluhu.

Mimi nikushauri tu kuwa usipende kitu kupitiliza na usikichukie kitu kupitiliza sababu utashindwa kuamua kwa Usawa...

Pili ,unapo sema Chadema wamefanya Fujo sio sahihi na sababu Kuu ni hii..Fujo ni ni Matokeo ya kuvunjwa kwa utaratibu flani.Raisi alipo piga marufuku Mikutano ya Siasa pamoja na Maandamano tayari alisha vunja utaratibu sababu mambo hayo yana tambulika na Katiba yetu ktk Uhuru wa kujieleza kwa kutoaMawazo/Maoni/Matamanio.Chadema wali nyimwa Hati za Viapo kutoka kwa Tume (hiyo ni Fujo) ..

Kumbuka pia kuwa Haki haiombwi ,ila hutolewa....

Wewe endelea kuufurahia Ushindi wa Damu ,Siku utakapo kuja kujifunza tayari utakuwa umesha poteza .
 
Hebu watanzania tuwe makini tuachane na hawa Chadema kwa siasa zao za fujo. Mbona kunavyama vingi sana lakini Chadema ndio wanakufa zaidi? NCCR was powerful but mauaji hayakuwepo. Mauwaji yanatokea CHADEMA wanavuluga uchunguzi. Mimi nashauri CHADEMA ifutwe. Maandamano ya nini? Hii nchi inatawaliwa na waafrika tena kwa kupokezana vijiti. Kwani uhuru maana yake nini? Watawala si malaika. Mimi naona CHADEMA ni kivuruge tu. Watamani maisha ya Siria, Libya, Misri, na Tunisia. Kwanini wasiende huko wajifunze madhara ya maandamano? Political unrest ikitokea si CCM wala CHADEMA itabakia. Wanachi watakufa sana. Hebu ni wapi au nchi gani amabapo fujo imekuwa suluhisho la matatizo?
CHADEMA AU UPINZANI
 
Naandika matusi yakukutukana nafuta naandika tena nafuta,,hivi najiuliza kama mkurugenzi angetoa mapema viapo?,haya yote yangetokea?,mtoa mada jitafakari halafu acha mambo ya nimefuta tena
 
Hebu watanzania tuwe makini tuachane na hawa Chadema kwa siasa zao za fujo. Mbona kunavyama vingi sana lakini Chadema ndio wanakufa zaidi? NCCR was powerful but mauaji hayakuwepo. Mauwaji yanatokea CHADEMA wanavuluga uchunguzi. Mimi nashauri CHADEMA ifutwe. Maandamano ya nini? Hii nchi inatawaliwa na waafrika tena kwa kupokezana vijiti. Kwani uhuru maana yake nini? Watawala si malaika. Mimi naona CHADEMA ni kivuruge tu. Watamani maisha ya Siria, Libya, Misri, na Tunisia. Kwanini wasiende huko wajifunze madhara ya maandamano? Political unrest ikitokea si CCM wala CHADEMA itabakia. Wanachi watakufa sana. Hebu ni wapi au nchi gani amabapo fujo imekuwa suluhisho la matatizo?

Kwa hiyo CCM ndo wana hati miliki ya kutawala Tanzania dats whay Trump anatukana watu weusi unajua Tanzania watu ambao hatuna vyama tuko wengi kuzidi nyie wenye vyama jitafakari sana
 
Nakubaliana na wewe mkuu, hichi chama cha wahuni kinachoongozwa na muhuni "Mbowe" kifutwe tena haraka sana. Mbowe ni "mwuuaji" aliyejificha chini ya mwavuli wa chama cha siasa na demokrasia. Tangu waliposajiliwa kama chama cha kisiasa, CHADEMA, chini ya muhuni Mbowe wamesababisha mauaji ya watu wengi sana wasiokuwa na hatia.

Kwanza wamekuwa wakiuana wao kwa wao ndani ya chama (rejea kifo cha Wangwe) na pili wamekuwa wakisababisha mauaji ya watu wasiokuwa na hatia ili kutafuta sympathy kutoka jamii ya kimataifa.

Msajili mkuu wa vyama vya siasa anapaswa kuchukua hatua haraka iwezekanavyo na kuifutilia mbali CHADEMA.
 
We .......kumbe!
We km nani sasa?

Endelea kujitoa akili,siku wakifa wanaowahusu zitarudi tu
 
Nakubaliana na wewe mkuu, hichi chama cha wahuni kinachoongozwa na muhuni "Mbowe" kifutwe tena haraka sana. Mbowe ni "mwuuaji" aliyejificha chini ya mwavuli wa chama cha siasa na demokrasia. Tangu waliposajiliwa kama chama cha kisiasa, CHADEMA, chini ya muhuni Mbowe wamesababisha mauaji ya watu wengi sana wasiokuwa na hatia.

Kwanza wamekuwa wakiuana wao kwa wao ndani ya chama (rejea kifo cha Wangwe) na pili wamekuwa wakisababisha mauaji ya watu wasiokuwa na hatia ili kutafuta sympathy kutoka jamii ya kimataifa.

Msajili mkuu wa vyama vya siasa anapaswa kuchukua hatua haraka iwezekanavyo na kuifutilia mbali CHADEMA.
Wataelewa tu
 
Back
Top Bottom