Lyetu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 1,333
- 3,541
Ili uweze kutoa maoni yako haya, Kwanza ulipaswa kujiuliza chanzo cha tatizo ni kipi? Ni chadema? Ni ccm? Vyombo vya ulinzi? au Serikali?
Serikali inawataka watu wanafiki ambao wako tayali moja waiite mbili, ukiwa tofauti na hivyo wewe ni adui. Lakini pia chunguza ni namna gani chadema imeitikisa serikali kwa kusema ukweli ambao mimi na wewe tunafichwa na hatujui tunafichwa kwa sababu ipi.
Serikali inawataka watu wanafiki ambao wako tayali moja waiite mbili, ukiwa tofauti na hivyo wewe ni adui. Lakini pia chunguza ni namna gani chadema imeitikisa serikali kwa kusema ukweli ambao mimi na wewe tunafichwa na hatujui tunafichwa kwa sababu ipi.