Mimi Napenda mno kusoma

Vizuri sana.

Sasa unasoma kitabu gani? Kwa nini unasoma hicho?
 
Vizuri sana.

Sasa unasoma kitabu gani? Kwa nini unasoma hicho?
Huwa nasoma Kwa minajili ya kujifunza kitu jipya.sibagui
Iwe mambo ya kiroho,kiafya,mahusiano,biashara nk
Kuna kitu ndani yake.ukiacha dhamira kuu ya kuburudisha ubongo pia kujifunza kitu kipya.
 
Yaani wewe ni mimi kabisa,kusoma na kujifunza vitu vipya ndo starehe yangu kubwa. Tena sasahivi vitabu vinapatikana online for free ni raha sana. Yaani unasoma kitabu hiki unaona ni kizuri ukishika kingine unaona kizuri zaidi. Sijutii kupenda kusoma
 
Yaani wewe ni mimi kabisa,kusoma na kujifunza vitu vipya ndo starehe yangu kubwa. Tena sasahivi vitabu vinapatikana online for free ni raha sana. Yaani unasoma kitabu hiki unaona ni kizuri ukishika kingine unaona kizuri zaidi. Sijutii kupenda kusoma
Ni burudani isiyochosha.
 
Yaliyopita si ndwele, umenikumbusha mbali sanaaa. Hongera lilikuwa zuri mnoo
 
Ni burudani isiyochosha.
Yes yes,ila ambao hawana huu uraibu wa kusoma hawaelewi. Ni raha mnoo jamani kujifunza vitu vipya kila siku. Kila kitabu kinakupa kitu ambacho usingekijua kama usingekisoma. Na kuna ile kitabu kinakubamba hadi kila ukipata muda wa free unacho. Nakumbuka kitabu cha Smart Money Woman kilivyonibamba
 
Mimi ni rich dad poor dad.
30 days habits
The secret
 
Mwanahalisi
Raiya mwema
Rai mwema
Mawio
Pambazuko Africa
Makuwadi wa solo huria
Wasifu wa siti bint saad
Bi kirembbwe ( kivuli ) kinaishi
Huyu bi kirembwe ni nani?
 
View attachment 3593578
Tupo ligi moja mdau... Sema mimi mambo yangu nayoyasoma ni magumu kidogo 😎😎😎 MENEMENE TEKERI NA PERESI
Vitabu vya aina hii ukivisoma vinakubadili ubongo 100%. Kwanza hauchukulii mambo kawaida kawaida,pili unakuwa unapofanya maamuzi hauwazi hapa tu unawaza mbali in deep,tatu unajaribu kufikiria response ya mtu mwingine kwa jambo lako kabla mwenyewe hajarespond. Ingekuwa amri yangu hakuna mtu kuwa kiongozi wa nchi nafasi yoyote ile kama hajavipitia hivi vitabu. Keep going.
 
Kama unasoma na ujuzi ama weredi unaoupata katika majarida unakusaidia kutoboa kimaisha safi endelea lakini kama ni tofauti basi huna tofauti yoyote na sisi ambao lazima tupitie bar kuchangamsha ubongo kila siku jioni huku tukipata mziki kwa mbaliii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…