"Mimi Naogopa Sana Mume wa Mtu"...

Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.
Dah Bishanga we mwizi aisee...we noma
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.
Duuuuuuuh, hiii kali.
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.

Nimeipenda hakuna kuremba.
 
Nani kakuambia wanaogopa waume za watu, hao ndo wanawataifisha kabisa.

Vipi yule cashier wa piccasso naongelea yule mrangi bado yupo? kama yupo masalimie sana mwambie fazaa anasema hello ka miss pizza, atanijua tu.

Kajaa tele. Salamu zimefika mkuu!
 
Tobaaaa!!! Bishanga huna maana, yani unaua kabisa... khah... sina hamu..!!!

Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.
 
Huyo kesha kupenda isipo kuwa anaogopa kukukwambia inavyoonekana anataka Hati miliki, sasa tatizo hajapata mpenzi ambaye yupo serious na penzi lake. Amechoka maisha ya kurukaruka anataka aitwe Mrs fulani kwa nguvu. Msaidie apate kivuli cha muda
 
Huyo kesha kupenda isipo kuwa anaogopa kukukwambia inavyoonekana anataka Hati miliki, sasa tatizo hajapata mpenzi ambaye yupo serious na penzi lake. Amechoka maisha ya kurukaruka anataka aitwe Mrs fulani kwa nguvu. Msaidie apate kivuli cha muda

Labda nimuunganishe kwa jamaa single halafu tuone. Vivuli vya muda ni chumba cha kupanga.
 
.....sentensi nimekuwa naisikia sana kutoka kwa kina dada walio single. Funny enough, kuna kina dada wapatao watatu niliowahi kuwasikia kwa masikio yangu (nafanya nao kazi) wakitoa kauli kama hii lakini eventually wamezaa na waume wa watu (of course sio kwa wakati mmoja na si na mume mmoja but over a period of four years).

Kuanzia jumatatu ya wiki hii nimekuwa nafukuzia kupewa assignment fulani na taasisi fulani. My contact kwenye hiyo taasisi ni mdada mmoja mrembo kweli ila hajaolewa. Nilimualika kula pizza pale Piccasso - wanaoifahamu Arusha wanaifahamu ilipo - jana jioni ili kujenga mazingira ya mimi kupata hicho ninachokitafuta (mwenye influence na maamuzi ni immediate boss wa huyo dada). Tulikula pizza na kuongea vitu viwili vitatu - social na professional - na kauli ya "kuogopa sana mume wa mtu" ika-crop up. Baada ya mlo kila mtu akachukua time. Mchana huu nikapata sms kutoka kwake akiniuliza: "Umeoa? Mimi naogopa sana mume wa mtu and I want us to be careful if you are married".

Au mimi sielewi maana ya "kuogopa sana mume wa mtu"?

JUST THINKING ALOUD!
Mkuu kua makini na videmu vya Arusha,ilisha nitokea hiyo wakati nikifanya kazi hapo Arusha 2008 baada ya kuhamishiwa hapo kwa muda,nilikutana na binti 1 alikua akisoma hapo mwaka wa mwisho A level na alikua akiishi maeneo ya "Sakina"mm nilikua "Karoleni"
Alikuja kwa gia hizo na akanitambulisha mpaka kwa baadhi ya ndugu zake,but kabla ya kula mzigo nilimuomba tukapime bcoz tayari nilikua na mke Dar na kwa maisha ya Arusha ilikua ngumu kua single,so baada ya kupata vipimo mzee nikaanza kula mzigo na baada ya 2months akanasa mimba,nilimwambia asiwe na khofu becouse alikua kabakiza 2 wks kumaliza shule,alipo maliza nilimwomba nipeleke barua kwao ili niongeze jiko,mtoto akakubali,
But kabla ya kupanga siku ya kupeleka barua akaniambia mimba imetoka,nilikubali kwa moyo safi,but in next few days fununu zikazagaa kwamba alitoa mimba,nilivyomuuliza akachomoa,but mamake mdogo akambana sana mpaka akakiri,sikua na jinsi zaidi ya kujivua gamba.
So tcare mkuu ingawa watoto wa Arusha wako bomba kinoma noma.
But pia Arusha ina maambukizi ya ukimwi ya kutisha,pita maaneo ya pale PICNIC nyuma ya ROSE GARDEN HOTEL mpaka Sombolelo then pandisha mpaka pale yanakopaki mabasi ya KLM(KILIMANJARO)Ebu check watoto wa kike bomba wanavyojiuza,na bei zao ni around ths 30,000 kwa condom mpaka asubuhi au ths 50,000 bila condom mpaka asubuhi na faster faster ni tsh 7,000-10,000.mkuu tcare.
 
loh! Mbaya weye!

Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.
 
.....sentensi nimekuwa naisikia sana kutoka kwa kina dada walio single. Funny enough, kuna kina dada wapatao watatu niliowahi kuwasikia kwa masikio yangu (nafanya nao kazi) wakitoa kauli kama hii lakini eventually wamezaa na waume wa watu (of course sio kwa wakati mmoja na si na mume mmoja but over a period of four years).

Kuanzia jumatatu ya wiki hii nimekuwa nafukuzia kupewa assignment fulani na taasisi fulani. My contact kwenye hiyo taasisi ni mdada mmoja mrembo kweli ila hajaolewa. Nilimualika kula pizza pale Piccasso - wanaoifahamu Arusha wanaifahamu ilipo - jana jioni ili kujenga mazingira ya mimi kupata hicho ninachokitafuta (mwenye influence na maamuzi ni immediate boss wa huyo dada). Tulikula pizza na kuongea vitu viwili vitatu - social na professional - na kauli ya "kuogopa sana mume wa mtu" ika-crop up. Baada ya mlo kila mtu akachukua time. Mchana huu nikapata sms kutoka kwake akiniuliza: "Umeoa? Mimi naogopa sana mume wa mtu and I want us to be careful if you are married".

Au mimi sielewi maana ya "kuogopa sana mume wa mtu"?

JUST THINKING ALOUD!

Huyo anataka kituuuuuuu
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.

Mweeh shemeji ndo mambo zako sio?
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.

aiseee,kumbee!
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.

haha, we nguv yote hiyo ya nn? yaan kama hao huwa wanapigwa flat, huna haja ya kumueleza chochote n believe me? she won't ask
 
Back
Top Bottom