"Mimi Naogopa Sana Mume wa Mtu"...

So,mkuu una mu-offer rushwa ya ngono ili akusaidie mambo yako?
au hii statement haitumiki kwa wanaume?

Hivi humu JF hatuna wanasheria? Nafikiria kum-sue Speaker kwa defamation! Hebu rudia Speaker, ninam-offer nini vile???
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.

Bishanga!By the power invested in me,by me myself, I clown you to be...THE KING OF ADULTERY
 
Kamanda huyo kesha kutaka hivo.Hiyo sms yake wala usiijibu kikamilifu...just tell her..'hahahaha tukionana nitakueleza',just to keep her interest alive,mkionana baada ya glass mbili za wine anza kumwonyesha huzuni jinsi mkeo anavyokusumbua na kukufanya utamani uhame inji,mweleze unavyojuta kuoa,mwambie mnalala different bedrooms,atalainika tu na ataanza ku feel sympathy,e bana e hata akitaka ahadi ya ndoa we mpe tu,akikuuliza ...'are you ready to dump mama kayai for me?',we kubali tu mradi ulambe mzigo,mengine atajijua huko mbele ya safari kudadadeki.

Bishanga ,

We unampoteza huyo kijana. Hapo huo mzigo umeshaingia king , yaani unachotaka ni kuhakikishiwa tu kuwa mambo yataenda fresh. Sasa kijana hapo kama anataka kula inabidi aseme mapema kwamba mke wake ni mkali kama Mbwa Pit bull yaani balaa na akimsikia tu kuna kamdada kapo nae anaweza kuanzisha soo mbaya na huyo madada atatamani ahame mji....akishajua kama mama watoto yupo na ni mkali kufa mengine yanaweza kuendelea.
 
Hehehe lakini word of caution , kama unampango wa kufanya kazi ofisi moja na huyo dada ondoa kabisa hayo mawazo na mpotezee
 
Mkuu kua makini na videmu vya Arusha,ilisha nitokea hiyo wakati nikifanya kazi hapo Arusha 2008 baada ya kuhamishiwa hapo kwa muda,nilikutana na binti 1 alikua akisoma hapo mwaka wa mwisho A level na alikua akiishi maeneo ya "Sakina"mm nilikua "Karoleni"
Alikuja kwa gia hizo na akanitambulisha mpaka kwa baadhi ya ndugu zake,but kabla ya kula mzigo nilimuomba tukapime bcoz tayari nilikua na mke Dar na kwa maisha ya Arusha ilikua ngumu kua single,so baada ya kupata vipimo mzee nikaanza kula mzigo na baada ya 2months akanasa mimba,nilimwambia asiwe na khofu becouse alikua kabakiza 2 wks kumaliza shule,alipo maliza nilimwomba nipeleke barua kwao ili niongeze jiko,mtoto akakubali,
But kabla ya kupanga siku ya kupeleka barua akaniambia mimba imetoka,nilikubali kwa moyo safi,but in next few days fununu zikazagaa kwamba alitoa mimba,nilivyomuuliza akachomoa,but mamake mdogo akambana sana mpaka akakiri,sikua na jinsi zaidi ya kujivua gamba.
So tcare mkuu ingawa watoto wa Arusha wako bomba kinoma noma.
But pia Arusha ina maambukizi ya ukimwi ya kutisha,pita maaneo ya pale PICNIC nyuma ya ROSE GARDEN HOTEL mpaka Sombolelo then pandisha mpaka pale yanakopaki mabasi ya KLM(KILIMANJARO)Ebu check watoto wa kike bomba wanavyojiuza,na bei zao ni around ths 30,000 kwa condom mpaka asubuhi au ths 50,000 bila condom mpaka asubuhi na faster faster ni tsh 7,000-10,000.mkuu tcare.
mnasema bishanga oh bishanga yuko hivi na vile,mnaliona li cheater la ukweli hili? bishanga cha mtoto,nimekuvulia kofia mkuu!
 
aisee kuna siku nili[otea badala ya kwenda ile bar inayofuatia kula nyama choma si nikaingia hapo PICNIC, ghafla nikaona mazingira tofauti kabisa........na mara nikaombwa hela ya soda.......nilitoka baruti hata sina hamu hapo picnic ni nomaaaaaaaaaaa!
acha woga,tairi haliogopi lami,unakimbia wanawake?
 
Kumbuka kumheshimu Mungu. Ni vibaya kabisa kumtamani mume/mke wa jirani yako. wewe fanya kazi uliyotumwa, na kama anaonyesha kukuzimia, mpe ukweli kama uko hapo kikazi na si vinginevyo
sawa bosi,nimekusikia.
 
Bishanga!By the power invested in me,by me myself, I clown you to be...THE KING OF ADULTERY
mmmhhh na figaniga je? na fidel? na wengine ambao hawavumi lakini wamo? si unajua debe tupu haliachi kushinda? ukute bunduki yangu haina risasi,si unajua ile stori ya...nguruwe pita sina mshale....ukute ndo bishanga abashaija.
 
aku! tena huyo Bishanga namwogopa kama ukoma. bora wewe. Uwiiiiiiiiii!!!!

Sishangai wewe kumuogopa Bishanga, maana wanawake ndio zenu hizo. Unakuta unamuogopa mende au panya lakini unamchezea sharubu simba!
 
Back
Top Bottom