Mimi naogopa sana mke wa mtu

Mimi naogopa sana mke wa mtu

Nakumbuka baba alivyokataa kunisomesha, ila aliweza kuhudumia wake za watu. Baba alikuwa na jeuri, sana alinitishia kuwa hataye hakusoma ila mama alimwacha kisa tabia zake.

Hata baba hakujenga alibakia kwenye nyumba ya urithi yaani makuti, na venye baba alivyotesa enzi hizo uchagani na kahawa ila aliambulia kwenye uhuni.

Nimepambana na kumjengea nyumba, sikuamua kulipa kwa mabaya, nilitenda mema ila sasa hivi hao waliokula naye hawapo naye. Sasa hivi baba hajiwezi mimi ndio ninayemhudumia.

Mke wa mtu sumu, yaani hayo maisha yamenifanya nikaogopa mwanamke. Bora tu niwe mseja maana unapendwa ukiwa na nguvu, zikiisha we ni tambara bovu.
Kuna maziwa acha woga
 
Kuna wimbo mmoja ameimba Stamina ft Prof.Jay - BABA.

Ukiusikiliza na kuutafakari jinsi Baba alivyotupiwa lawama, tafakari na maisha yako ya sasa wewe mwenye familia, umeweza kufanya zaidi tofauti na baba alichokifanya? Au na wewe unatembea mulemule.
 
Kwa hii kesi mzee wako ndio alizingua wacha kusema mwanamke ni sumu, aliendekeza michepuko mwenyewe hakulazimishwa. Aliacha kuhudumia familia yake akaelekeza huduma kwa michepuko wacha kimlambe.
 
Kijana:-

Zaidi ya asilimia 90 ya sisi kina baba waliozipambania familia zao na wake zao ,baadae walipuuzwa hata kufa kinyonge sana!
Mshindi wa mahanhaiko ya baba Kwa watoto ni mama TU,coz walau utasikia "hakuna kama mama"!!

Wewe oa ishi na mke lakini weka akilin kwamba sio lazima uzeekee kwake huyo mwanamama!!

Always kuwa na mpango mbadala !ukishajenha familiar na walau asilimia zaidi ya 60 inaweza kujiendesha Anza kutafuta mbadala atakekuhitaji tena Hadi uzee wako coz huyo atakua ameshiba!!

Akili kumkichwa,vilio no vingi siku hizi,makinika comrade!
 
Una uhakika huyo mzee ni baba ako kibaiolojia? . Hawa wazes wetu sometimes wanaamua tu kufunika kombe kulinda heshima za mama zetu.

Hata hivyo sahau yaliyopita, mgange yajayo. Haya masuala ya ndoa na malezi kwa uoande wetu wanaume tukiwa wadogo tunawaonaga wazee wetu ni villain lakini tunavyokua na sisi kuoa na kuwa wazazi taratibu tunaanza kuwaelewa hawa wazee wetu.
 
Nakumbuka baba alivyokataa kunisomesha, ila aliweza kuhudumia wake za watu. Baba alikuwa na jeuri, sana alinitishia kuwa hataye hakusoma ila mama alimwacha kisa tabia zake.

Hata baba hakujenga alibakia kwenye nyumba ya urithi yaani makuti, na venye baba alivyotesa enzi hizo uchagani na kahawa ila aliambulia kwenye uhuni.

Nimepambana na kumjengea nyumba, sikuamua kulipa kwa mabaya, nilitenda mema ila sasa hivi hao waliokula naye hawapo naye. Sasa hivi baba hajiwezi mimi ndio ninayemhudumia.

Mke wa mtu sumu, yaani hayo maisha yamenifanya nikaogopa mwanamke. Bora tu niwe mseja maana unapendwa ukiwa na nguvu, zikiisha we ni tambara bovu.
Mimi mbona nawala Sana wake za watu, tena wale Benki ni watamu hatari. Yaani 500k tu unamkula Kila wiki Kila mwezi anapotoka job kabla hajampelekea Mumewe nyumbani kwake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom