Mimi naogopa sana mke wa mtu

Mimi naogopa sana mke wa mtu

Nakumbuka baba alivyokataa kunisomesha, ila aliweza kuhudumia wake za watu. Baba alikuwa na jeuri, sana alinitishia kuwa hataye hakusoma ila mama alimwacha kisa tabia zake.

Hata baba hakujenga alibakia kwenye nyumba ya urithi yaani makuti, na venye baba alivyotesa enzi hizo uchagani na kahawa ila aliambulia kwenye uhuni.

Nimepambana na kumjengea nyumba, sikuamua kulipa kwa mabaya, nilitenda mema ila sasa hivi hao waliokula naye hawapo naye. Sasa hivi baba hajiwezi mimi ndio ninayemhudumia.

Mke wa mtu sumu, yaani hayo maisha yamenifanya nikaogopa mwanamke. Bora tu niwe mseja maana unapendwa ukiwa na nguvu, zikiisha we ni tambara bovu.
Duh! Nilijua kuna mahala utaeleza kama alishakutana (fumaniwa) na msala kutokana na kutembea na wake za watu.
 
na wew ndo ujiite majina ya contraceptive pills🤭🤭😅😅 why lakin
🤣🤣🤣 kumbe dingi una uzoefu wa kutumia contraceptive. Achana na hizi JF IDs ni alias tu za kusitiri utambulisho.
 
Nakumbuka baba alivyokataa kunisomesha, ila aliweza kuhudumia wake za watu. Baba alikuwa na jeuri, sana alinitishia kuwa hataye hakusoma ila mama alimwacha kisa tabia zake.

Hata baba hakujenga alibakia kwenye nyumba ya urithi yaani makuti, na venye baba alivyotesa enzi hizo uchagani na kahawa ila aliambulia kwenye uhuni.

Nimepambana na kumjengea nyumba, sikuamua kulipa kwa mabaya, nilitenda mema ila sasa hivi hao waliokula naye hawapo naye. Sasa hivi baba hajiwezi mimi ndio ninayemhudumia.

Mke wa mtu sumu, yaani hayo maisha yamenifanya nikaogopa mwanamke. Bora tu niwe mseja maana unapendwa ukiwa na nguvu, zikiisha we ni tambara bovu.
Chagua moja, unaogopa mke wa mtu au wanawake wote?
 
Nakumbuka baba alivyokataa kunisomesha, ila aliweza kuhudumia wake za watu. Baba alikuwa na jeuri, sana alinitishia kuwa hataye hakusoma ila mama alimwacha kisa tabia zake.

Hata baba hakujenga alibakia kwenye nyumba ya urithi yaani makuti, na venye baba alivyotesa enzi hizo uchagani na kahawa ila aliambulia kwenye uhuni.

Nimepambana na kumjengea nyumba, sikuamua kulipa kwa mabaya, nilitenda mema ila sasa hivi hao waliokula naye hawapo naye. Sasa hivi baba hajiwezi mimi ndio ninayemhudumia.

Mke wa mtu sumu, yaani hayo maisha yamenifanya nikaogopa mwanamke. Bora tu niwe mseja maana unapendwa ukiwa na nguvu, zikiisha we ni tambara bovu.
Pole sana DUNIA NJIA_ BUSHOKEE HUYO KAIMBA.
 
Wote watatu mke wa mtu , mtu mwenyewe na wewe mkiwa na akili timamu unaweza kuwa na huyo mke wa mtu usifumaniwe mpaka unakufa
Kaka hii komenti imenifanya niwaze hapo ulipo pembeni Yako lazima una kinywaji changamshii 😊😊😊
 
Inafika mahali unawaza laiti Maza na mshua wangejua usingetamani kuja kwenye Dunia hii pasipo hiyari yako...... Unagundua mawazo ya aina hii Ni kufuru😑
 
Nakumbuka baba alivyokataa kunisomesha, ila aliweza kuhudumia wake za watu. Baba alikuwa na jeuri, sana alinitishia kuwa hataye hakusoma ila mama alimwacha kisa tabia zake.

Hata baba hakujenga alibakia kwenye nyumba ya urithi yaani makuti, na venye baba alivyotesa enzi hizo uchagani na kahawa ila aliambulia kwenye uhuni.

Nimepambana na kumjengea nyumba, sikuamua kulipa kwa mabaya, nilitenda mema ila sasa hivi hao waliokula naye hawapo naye. Sasa hivi baba hajiwezi mimi ndio ninayemhudumia.

Mke wa mtu sumu, yaani hayo maisha yamenifanya nikaogopa mwanamke. Bora tu niwe mseja maana unapendwa ukiwa na nguvu, zikiisha we ni tambara bovu.
Mwandikie babako meseji kama umeshindwa kuongea naye, alafu acha kuchafua wake za watu. Mzee alitumia ujana wake wewe pia una haki ya kuishi maisha unayotaka. Umeamua kumsaidia acha kumsimanga, wewe wote uliowabutua wako na wewe? japo sijui kama wewe ni KE/ME. Manake hapa jamii forums ni sawa na kiboksi cha mashahidi wa siri wa Jamhuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom