Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
........umeme wa uhakika! That is the sickest joke! Nimesikia sasa hivi kwenye gari wakati naenda kazini, it made me sick to my stomach! The last two weeks ni kama mgawo wa umeme umerudi. Kuna kitu TANESCO hawatuambii right haiwezekani kila siku wiki mbili sasa umeme unakatika kila siku kwa masaa 6-12.
Jamaa bila hata chembe ya aibu anatuambia dinia yako 2012 chagua umeme wa uhakika! do we have that option anyway? How? & where?
Jamaa bila hata chembe ya aibu anatuambia dinia yako 2012 chagua umeme wa uhakika! do we have that option anyway? How? & where?