"Mimi naitwa WILLIUM NGEREJA DUNIA YAKO 2012 CHAGUA......"

Mimi naitwa Askofu Z. Kakobe, mbinguni ni kwako, kuzimu si chaguo lako. Epuka kutenda dhambi kwa kumsupport ngeleja ambaye anashabikia umeme wa dunia hii hali amesahau kuwa Mungu ndiye pekee anayeweza kutoa umeme usio na mgawo Tanzania nzima.
 
hamjawajua vizuri mawaziri wa jk. Karibu wote ni wale wale anaowasema masaburi kuhusu kufikiri

bongo kwa masihara loh!!!! Angesema dunia yako chagua lako,chagua kukaa gizani kama mende"
 
........umeme wa uhakika! That is the sickest joke! Nimesikia sasa hivi kwenye gari wakati naenda kazini, it made me sick to my stomach! The last two weeks ni kama mgawo wa umeme umerudi. Kuna kitu TANESCO hawatuambii right haiwezekani kila siku wiki mbili sasa umeme unakatika kila siku kwa masaa 6-12.

Jamaa bila hata chembe ya aibu anatuambia dinia yako 2012 chagua umeme wa uhakika! do we have that option anyway? How? & where?

Bora nyie huko kwenu kuna muda maalum wa masaa wakukata huku kwetu unakuwepo na kukatika kila mara kitu ambacho kinasababisha uaribifu wa vyombo vyetu vya ndani kuungua na kusababisha hasara kubwa. Hivi hakuna sheria ambayo inaturuhusu kuwafungulia tanesco kutokana na huu uaribifu wanaotufanyia tulipwe fidia? Wanasheria nisaidieni kwa hili
 
TANESCO shamba la bibi, dharula hizo ndio makusanyo ya wanasiasa! Sijawahi sikia mpango wa kununua Generator hata siku moja!
Bado tunahitaji majenerator ya mafuta? Wakianza kutaja generator ujue ni wizi mwingine unapangwa. Na hii mijamaa inaliendeleza sana tatizo la umeme makusudi kwa kuwa lina maslahi kwao.
Ndugu zangu, badala ya kuendelea kufikiria majenerator ya kawaida kwanini tusifikirie kuvuna upepo unaopotea bure pale Singida, Shinyanga, dodoma and makambako? Windmill generator yenye uwezo wa kuzalisha watt 400 inauzwa kwa bei isiyozidi dola 500. Hivi tukiamua kuwa na hizi generator kama 2000 hivi katika maeneo tofauti tofauti nchini hatutamaliza tatizo la kila siku la umeme? Hawa viongozi wetu wezi kama akina ngeleja wanashindwaje kufikiria mbinu hii ilihali mataifa mengi duniani yakiwemo yaliyoendelea yanajenga windmill farms kubwa na za gharama kubwa ili kuzalisha umeme? Soma zaidi kuhusu windimill hapa: All Power America 400W Horizontal Wind Turbine Generator
 
simtambui ngeleja kama waziri,ameshafukuzwa uwaziri na tume mbalimbali jk sijui kwa nini anamkumbatia!
 
Dunia yake chaguo lake, lakini mimi namchagulia kusaini mikatabo bomu ya madini na kujilimbikizia vijisenti kama mwenzake yule wa Rada......kabla rishafo haijapita.
Hakuna jipya hapa, tangu amkumbatie Jairo Mmmh!!
 
........umeme wa uhakika! That is the sickest joke! Nimesikia sasa hivi kwenye gari wakati naenda kazini, it made me sick to my stomach! The last two weeks ni kama mgawo wa umeme umerudi. Kuna kitu TANESCO hawatuambii right haiwezekani kila siku wiki mbili sasa umeme unakatika kila siku kwa masaa 6-12.

Jamaa bila hata chembe ya aibu anatuambia dinia yako 2012 chagua umeme wa uhakika! do we have that option anyway? How? & where?

mwenzio alijipanga kweli kweli
 
wanaudhi sana waendelee kuwatia wananchi hasira wasijue wanajikaanga wenyewe!!

Mkuu hivi unafikiri kuna mtu anayetiwa hasira hapo.

ukifika wakati wa uchaguzi tunaambiwa TIENI, TIE, TIENI, TIENI, TIENI, TIENI, NI KWA MOYO MMOJA NAMBARI WANI NI .......

Wanarudi wale wale kina NGE LEE JA tena.

Kama unataka kuamini subiri ARUMERU matokeo utaambiwa njano kijani wameshinda kwa 70%


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Mkuu hivi unafikiri kuna mtu anayetiwa hasira hapo.

ukifika wakati wa uchaguzi tunaambiwa TIENI, TIE, TIENI, TIENI, TIENI, TIENI, NI KWA MOYO MMOJA NAMBARI WANI NI .......

Wanarudi wale wale kina NGE LEE JA tena.

Kama unataka kuamini subiri ARUMERU matokeo utaambiwa njano kijani wameshinda kwa 70%


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Mapinduzi kama ya Libya na kwingineko Africa ndiyo yanayohitajika Tanzania hivi sasa. Maana kwenye uchaguzi hawa wehu wana hela na wanaiba kura kwa kutumia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Wapinzani hawana hivyo vyombo wala hela ya kutosha kuhonga wapiga kura wote. So the best way hapa ni mapinduzi ya umma tu. Natamani niambiwe leo kuna maandamano ya kuiondoa serikali ya Kikwete madarakani. Hata ikinibidi kufa, nitafanya hivyo kwa manufaa ya vizazi vijavyo vya nchi hii.
 
Huku kwetu songea tuna mgawo wa umeme! Kila baada ya siku 2, ndiyo taa zinawaka! Sina uhakika kama mr. Megawati analijua hili! Karibuni....!!!
 
Pamoja na rasilimali nyingi tulizonazo Tanzania; lakini hatutaweza kufikia lengo la umeme wa uhakika endapo tutaendelea kupanga mipango isiyotekelezwa.

Ni budi tukawekeza kwenye vyanzo vingine vya umeme badala ya majenereta na umeme wa maji. Option ya umeme wa upepo, makaa ya mawe, gesi, jua, radi na kadhalika.

Hali ya umeme nchini ni mbaya kila kukicha...
 
Back
Top Bottom