Habari zenu,
Nilikuwa naomba msaada wenu au ushauri wenu.
Nimekutana na mwanamke kwenye mahusiano yeye ana miaka 25 mimi nina miaka 27 ila hatujawahi kukaa hata wiki moja bila kudundana ngumi za ukweli.
Yani akikosea hataki kueleweshwa na hata kama nikikosea mimi yeye hataki kuniambia yani yeye ni ngumi tuu.Yani mkipishana kidogo mnashikana mnaanza kudundana sasa mimi nimefika stage nimechoka kupigana.
Maana siku za juzi juzi nilimpiga hadi kazindukia hospital sasa mimi tabia hii nimechoka.Maana nishamwambia tuachane yeye anadai ananipenda sana na hawezi kuachana na mimi kilahisi tuu.
Naombeni msaada wenu nifanyeje?Au nimkimbie nihame mkoa ? Msaada tafadhari.
Nilikuwa naomba msaada wenu au ushauri wenu.
Nimekutana na mwanamke kwenye mahusiano yeye ana miaka 25 mimi nina miaka 27 ila hatujawahi kukaa hata wiki moja bila kudundana ngumi za ukweli.
Yani akikosea hataki kueleweshwa na hata kama nikikosea mimi yeye hataki kuniambia yani yeye ni ngumi tuu.Yani mkipishana kidogo mnashikana mnaanza kudundana sasa mimi nimefika stage nimechoka kupigana.
Maana siku za juzi juzi nilimpiga hadi kazindukia hospital sasa mimi tabia hii nimechoka.Maana nishamwambia tuachane yeye anadai ananipenda sana na hawezi kuachana na mimi kilahisi tuu.
Naombeni msaada wenu nifanyeje?Au nimkimbie nihame mkoa ? Msaada tafadhari.