mimi na mabintu wa facebook

mimi na mabintu wa facebook

kawaida tu hiyo, kila mtu anayetaka anapata so usishangae, kwa kua ushanawa eat more
 
nashangaa hapa


Sijuwi utakuwa mdogo wangu au mkubwa wangu, nikuombe urudi kule Facebook wasiliana na marafiki wakiume wakupe uzoefu

wao wamegalagana na wangapi ndani ya wiki moja, kisha utapata majibu. Tena kwa upole na umakini mkubwa wasiliana na

mabinti hukohuko Facebook wamepigana vibuti na Viselengeti boys mara ngapi utapata majibu. Baada ya hapo utagundua hao 7 .......
 
Sijuwi utakuwa mdogo wangu au mkubwa wangu, nikuombe urudi kule Facebook wasiliana na marafiki wakiume wakupe uzoefu

wao wamegalagana na wangapi ndani ya wiki moja, kisha utapata majibu. Tena kwa upole na umakini mkubwa wasiliana na

mabinti hukohuko Facebook wamepigana vibuti na Viselengeti boys mara ngapi utapata majibu. Baada ya hapo utagundua hao 7 .......
hee kule sirudi
 
kwann mabinti wa facebook wanajirahisisha sana kwangu? au ni kwa kila mtu? maana nimeshagaragaza mademu saba kwa msaada wa fb wawili kutoka chuo kikuu cha saut mwanza wawili wa ifm na mmoja wa udsm. sasa najiuliza ni mm tu au na wenzangu yanawakuta?

bado wawili hujasema wa wapi?
Maana wawili saut
wawili ifm
mmoja udsm jumla 5 bado wawii!!!
 
Si umeweka lile li picha la KU EDITIWA ndo maana wanafikili we mzuri.
 
Si umeweka lile li picha la KU EDITIWA ndo maana wanafikili we mzuri.


Kumbe anawatapeli kwa sura bandia ndo maana hataki kurudi wamemshitukia watamwaga mboga maana kisha mwaga ugali!
 
kwann mabinti wa facebook wanajirahisisha sana kwangu? au ni kwa kila mtu? maana nimeshagaragaza mademu saba kwa msaada wa fb wawili kutoka chuo kikuu cha saut mwanza wawili wa ifm na mmoja wa udsm. sasa najiuliza ni mm tu au na wenzangu yanawakuta?
Ni kwasababe wewe ni hb! then una mkwanja mrefu wa matanuzi na kuhonga! pia unajua kutongoza kuliko wanaume wote!
afu hao mademu wanagawa ngoma at cheap price! congrats mzee endeleza hata hapa JF wapo kibao wewe just ucjali watokee tu
 
U K I M W I upo, dawa haijapatikana mpaka leo hii, wataalamu bado wanatafuta ufumbuzi wa hili janga lakini bado kitendawili ni kigumu. Hivyo sio vizuri kujisifia kwa mambo ya kipuuzi, fikiria future yako itakuwaje, alaaaah!!!!
 
kwann mabinti wa facebook wanajirahisisha sana kwangu? au ni kwa kila mtu? maana nimeshagaragaza mademu saba kwa msaada wa fb wawili kutoka chuo kikuu cha saut mwanza wawili wa ifm na mmoja wa udsm. sasa najiuliza ni mm tu au na wenzangu yanawakuta?

2+2+1=7

hivi umewagaragaza au mmegaragazana?
Halafu hii post ungeiweka kwenye wall yako ya fb ungepata majibu
 
Back
Top Bottom