blackbandana
Member
- Aug 30, 2014
- 39
- 51
Hiyo kupitia kutambua madhila ya CCM miaka 59 baada ya Uhuru maendeleo ya kujikongoja na propaganda za miaka mitano ya JPM.
NDANI YA MIAKA 5
1. Kuua soko la mazao ya biashara kama vile korosho, tumbaku na kahawa siku hiz hayana thamani kama zamani.
2. Kuwatesa watumishi kwa kutowapa stahiki zao kama increment, kutokupanda madaraja watu waloajiriwa kuanzia 2014.
3. Kukosekana kwa madawa hospital licha ya kua na bima.
4. Kuua viwanda vya uzalishaji ambavyo viliajiri maelfu ya watanzania sa iv ving vimefungwa.
5. Ukosefu wa ajira kwa vijana wanaomaliza vyuo vikuu ikiwa mfumo wa elimu walouweka CCM ni wa kuajiriwa sio kujiajiri.
6. Kulipa kisasi kwa watu walio kinyume na utawala huu licha ya ukwel hii nchi ya demokrasia so kila mtu anapaswa kuamini katika chama chake.
7. Kutuaminisha maendeleo ya sehem moja kv dsm au ddm ndo maendeleo ya taifa kwa kuweka fly over akat huku kwetu barabara ya kupeleka nyanya sokon haipitiki.
8. Kuongeza makato ya bodi kutoka 8% mpk 15% kimabavu bila kufata mikataba ya awali
KUPITIA hayo mm na jamaa zangu tumekubaliana kumpigia KURA zetu LISSU na hatutojutia hata kama wakishinda wao still mioyon tutabaki na imani kwamba hatujapoteza haki yetu.
Wasalaam
NDANI YA MIAKA 5
1. Kuua soko la mazao ya biashara kama vile korosho, tumbaku na kahawa siku hiz hayana thamani kama zamani.
2. Kuwatesa watumishi kwa kutowapa stahiki zao kama increment, kutokupanda madaraja watu waloajiriwa kuanzia 2014.
3. Kukosekana kwa madawa hospital licha ya kua na bima.
4. Kuua viwanda vya uzalishaji ambavyo viliajiri maelfu ya watanzania sa iv ving vimefungwa.
5. Ukosefu wa ajira kwa vijana wanaomaliza vyuo vikuu ikiwa mfumo wa elimu walouweka CCM ni wa kuajiriwa sio kujiajiri.
6. Kulipa kisasi kwa watu walio kinyume na utawala huu licha ya ukwel hii nchi ya demokrasia so kila mtu anapaswa kuamini katika chama chake.
7. Kutuaminisha maendeleo ya sehem moja kv dsm au ddm ndo maendeleo ya taifa kwa kuweka fly over akat huku kwetu barabara ya kupeleka nyanya sokon haipitiki.
8. Kuongeza makato ya bodi kutoka 8% mpk 15% kimabavu bila kufata mikataba ya awali
KUPITIA hayo mm na jamaa zangu tumekubaliana kumpigia KURA zetu LISSU na hatutojutia hata kama wakishinda wao still mioyon tutabaki na imani kwamba hatujapoteza haki yetu.
Wasalaam