Mimi Mwenzenu mapenzi basi

Mimi Mwenzenu mapenzi basi

Status
Not open for further replies.
mapenzi yana wenyewe jamani!!
mi nanawa mikono
tangu niyajue furaha ni 40% wenge na huzuni 60%
mda mwingine yananiharibia status yangu kwa watu wangu wa karibu...nakuwa na hasira.kila mtu namjibu kwa ukali.
chakula nakiona hakina ladha nkila nakuwa kama nataka kukitapika.usiku nashindwa lala vizuri.nakonda
sijui wenzangu mnahimili vipi?
niko very royal...one man chick...michepuko sijawahi but ananizingua
najitahidi kuwa mwema,kuspend quality time...hata kwa simu...
nilimkubalia ye msela tu ndo anaanza tuyajenge tufike mbali..kwa juhudi na mungu akijalia.nkawakatalia waliokwisha settle down na minoti yao sababu yako..
but we msela unazingua..unazingua vibaya mno
we unanitemea shit thn unanipotezea..mimi nakufariji kwa matatizo unayopitia unadai nakupigia kelele..
mi nkitembea mtaani tu muuza duka ananililia..muuza mkaa anachombeza.muuza bucha nae hayupo nyuma.
..muuza genge kila nkifika anakonyeza mfululizo...vibanda vya mpesa ndo wanachukua bila kujua namba na kusumbua....msugua kucha ananibembeleza niwe wake..eti tangu aanze hiyo kaz katengeneza kucha wadada kwa mamia ila mimi tu ndo kanipenda..nkipanda daladala makonda si tamdika si mnaz mmoja si tegeta wakinipa risiti wanajibanza wanaomba namba..kila mtaa ntaoingia mi nageukiwa..kila mgeni kijana ataekuja home ananitaka

we kwanini unaninyanyasa mwana wa mwenzio? kisa kukupenda?

wakaka mkipendwa pendekeni basi..au mnatakaje??
Njoo kwangu baby girl
 
Yaan hawa viumbe wanachosha Kwa kweli
nimewanawa
ndo mana kila kukicha wanaleta thread humu wamekuta msg za mapenzi kwenue simu ya mwanamke..
if u take ur lover for granted..unamuona kama mpita njia..at the end lazima aanguke majaribuni
 
Kwa ujinga huo ulioandika huyo jamaa humfai...
 
Usimtegemee binadamu kwa asilimia mia utaumia.
Kutokana na ubinadamu alionao binadamu mda wowote anaweza kufanya jambo la kuudhi.
Ukimpa binadamu biashara yako akuendeshee, mfano biashara ya usafirishaji, ukampa Noa yako awe dereva hapo kesi zinaanza, kila siku bili ya hasara unaletewa mara pancha mara trafiki ni visingizio tele vyauwongo.
Hivyo sawasawa
na mapenzi, sio wanawake tu mnaoumia pia na wanaume.
Unamsomesha mchumba wako kwa mapenzi ya kumwinua kiuchumi akimaliza chuo kikuu, anakuacha solemba, hata japo kukushukuru tu hataki, na anabadili namba ya simu ili asikusikie kabisa.
Hakuna garantii ya mapenzi, nyie mnaopenda msipende kupita kiasi, na mjue kuwa wakati wowote penzi linaweza kuisha hivyo kila wakati muwe mmejiandaa kuachwa.
Hofu hii isiwakataze kupenda
Kwani yapo mapenzi yanayodumu na ni wajibu wako kuyadumisha.
asante ndugu..ntazingatia
 
Umemkubali msela kwa maneno yako...

Ukimfariji kwa matatizo yake anasema unampigia kelele... "hahahaha" msela ataendelea kuwa msela...

Alafu hao watu wanaokufuata fuata... Muuza duka, mkaa, bucha, genge, mpesa, wasugua kucha, makondakta na wageni... Hizo type zote hawana tofauti na msela...

Sipati picha utakuwa mwanamkr wa aina gani aiseee.. Pole sana... Upgrade yourself...



Cc: mahondaw
 
Umemkubali msela kwa maneno yako...

Ukimfariji kwa matatizo yake anasema unampigia kelele... "hahahaha" msela ataendelea kuwa msela...

Alafu hao watu wanaokufuata fuata... Muuza duka, mkaa, bucha, genge, mpesa, wasugua kucha, makondakta na wageni... Hizo type zote hawana tofauti na msela...

Sipati picha utakuwa mwanamkr wa aina gani aiseee.. Pole sana... Upgrade yourself...



Cc: mahondaw
ok.
 
mapenzi yana wenyewe jamani!!
mi nanawa mikono
tangu niyajue furaha ni 40% wenge na huzuni 60%
mda mwingine yananiharibia status yangu kwa watu wangu wa karibu...nakuwa na hasira.kila mtu namjibu kwa ukali.
chakula nakiona hakina ladha nkila nakuwa kama nataka kukitapika.usiku nashindwa lala vizuri.nakonda
sijui wenzangu mnahimili vipi?
niko very royal...one man chick...michepuko sijawahi but ananizingua
najitahidi kuwa mwema,kuspend quality time...hata kwa simu...
nilimkubalia ye msela tu ndo anaanza tuyajenge tufike mbali..kwa juhudi na mungu akijalia.nkawakatalia waliokwisha settle down na minoti yao sababu yako..
but we msela unazingua..unazingua vibaya mno
we unanitemea shit thn unanipotezea..mimi nakufariji kwa matatizo unayopitia unadai nakupigia kelele..
mi nkitembea mtaani tu muuza duka ananililia..muuza mkaa anachombeza.muuza bucha nae hayupo nyuma.
..muuza genge kila nkifika anakonyeza mfululizo...vibanda vya mpesa ndo wanachukua bila kujua namba na kusumbua....msugua kucha ananibembeleza niwe wake..eti tangu aanze hiyo kaz katengeneza kucha wadada kwa mamia ila mimi tu ndo kanipenda..nkipanda daladala makonda si tamdika si mnaz mmoja si tegeta wakinipa risiti wanajibanza wanaomba namba..kila mtaa ntaoingia mi nageukiwa..kila mgeni kijana ataekuja home ananitaka

we kwanini unaninyanyasa mwana wa mwenzio? kisa kukupenda?

wakaka mkipendwa pendekeni basi..au mnatakaje??
nyie si wachagua nazi umepata koroma teh teh [HASHTAG]#Team[/HASHTAG] viba100 nyuzi kama hizi ni furaha yetu
Umenifurahisha uliposema ''wakaka mkipendwa pendekeni basi...au mnatakaje'''
wachagua nazi hao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom