Mimi Mwenzenu mapenzi basi

Mimi Mwenzenu mapenzi basi

Status
Not open for further replies.
mapenzi yana wenyewe jamani!!
mi nanawa mikono
tangu niyajue furaha ni 40% wenge na huzuni 60%
mda mwingine yananiharibia status yangu kwa watu wangu wa karibu...nakuwa na hasira.kila mtu namjibu kwa ukali.
chakula nakiona hakina ladha nkila nakuwa kama nataka kukitapika.usiku nashindwa lala vizuri.nakonda
sijui wenzangu mnahimili vipi?
niko very royal...one man chick...michepuko sijawahi but ananizingua
najitahidi kuwa mwema,kuspend quality time...hata kwa simu...
nilimkubalia ye msela tu ndo anaanza tuyajenge tufike mbali..kwa juhudi na mungu akijalia.nkawakatalia waliokwisha settle down na minoti yao sababu yako..
but we msela unazingua..unazingua vibaya mno
we unanitemea shit thn unanipotezea..mimi nakufariji kwa matatizo unayopitia unadai nakupigia kelele..
mi nkitembea mtaani tu muuza duka ananililia..muuza mkaa anachombeza.muuza bucha nae hayupo nyuma.
..muuza genge kila nkifika anakonyeza mfululizo...vibanda vya mpesa ndo wanachukua bila kujua namba na kusumbua....msugua kucha ananibembeleza niwe wake..eti tangu aanze hiyo kaz katengeneza kucha wadada kwa mamia ila mimi tu ndo kanipenda..nkipanda daladala makonda si tamdika si mnaz mmoja si tegeta wakinipa risiti wanajibanza wanaomba namba..kila mtaa ntaoingia mi nageukiwa..kila mgeni kijana ataekuja home ananitaka

we kwanini unaninyanyasa mwana wa mwenzio? kisa kukupenda?

wakaka mkipendwa pendekeni basi..au mnatakaje??
Uandikaji huu, mbona kama naufananisha aisee.
 
Pole sana dada.
Mapenzi ndio yako hivyo huna budi kuvumilia
Mkuu Mwifwa naona unajaribu kuchukua nafasi ya Joseveret yaani umeiga hadi mwandiko na unajaribu kutaka kuchukua ile nafasi yake ya first to reply. Je utaweza moto wake, usije pasuka msamba.
 
Mkuu Mwifwa naona unajaribu kuchukua nafasi ya Joseveret yaani umeiga hadi mwandiko na unajaribu kutaka kuchukua ile nafasi yake ya first to reply. Je utaweza moto wake, usije pasuka msamba.
Mkuu najitahidi japo bado sijafanikiwa, ukitaka ufanikiwe hichi kitu ni lazima usiwe unasoma story nyingi ili kupisha notifications za mwanzo na kuisoma thread husika kabla nyingine haijaingia, ila thread zikiingia nyingi hutaweza kureply wa mwanzo
 
Mkuu najitahidi japo bado sijafanikiwa, ukitaka ufanikiwe hichi kitu ni lazima usiwe unasoma story nyingi ili kupisha notifications za mwanzo na kuisoma thread husika kabla nyingine haijaingia, ila thread zikiingia nyingi hutaweza kureply wa mwanzo
Haaahaaa..kila la kheri Mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom