Mimi Mwenzenu mapenzi basi

Mimi Mwenzenu mapenzi basi

Status
Not open for further replies.
Huwezi kuyakwepa mapenzi... Lakini sio kila umpendae atakua mpenzi wako,... Vuta pumzi kidogo na uyapokee na kuyakubali, then utafurahi.... Hujafika safari inaendelea......
 
Halafu anakupotezea muda maana hatakuoa hebu muache roho imuume yeye kabla hajakuacha ukashindwa kuhimili ukajifia bureeèe
 
ndio mpenzi wako wa kwanza ? pole ila utazoea tu ndio tulivyo wanaume nikishakuzoea tu papunch yako huwa nataman mpya hata km ww utakuwa mzur vip hiyo ni natural tu km hachepuki ujue anaizuia tamaa na nafsi ww mpende tu ila usimwonyeshe km unampenda sana fanya km unampotezea atastuka maana ndio tulivyo hata niwe na michepuko mingi ila sipendi demu wangu achukuliwe na men mwngne
 
Jipende mwenyewe dada. Ukimpenda mwingine tena hakupendi ni tatizo. Jifunze kujipenda wewe mwenyewe kwanza
 
Beyonce anautajiri wa $350 milion, ameuza copy zaidi ya 100m, anatuzo za gramy 22, ila bado anamsamehe Jay Z akicheat!!

*Wewe unamiliki pafyumu na wanja [emoji23][emoji23] lakn ukigundua mpnz wako amekucheat, hapatoshiiiii* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uvumilivu zero tatizo wanawake wengi hamjui kujishusha kisa unapendwa mtaa mzima ndo unataka msela akunyenyekee? acha tuendelee kuwachezea tu
 
Uvumilivu zero tatizo wanawake wengi hamjui kujishusha kisa unapendwa mtaa mzima ndo unataka msela akunyenyekee? acha tuendelee kuwachezea tu
Teh...chezea uvumilivu!
 
mapenzi yana wenyewe jamani!!
mi nanawa mikono [emoji119]
tangu niyajue furaha ni 40% wenge na huzuni 60%
mda mwingine yananiharibia status yangu kwa watu wangu wa karibu...nakuwa na hasira.kila mtu namjibu kwa ukali.
chakula nakiona hakina ladha nkila nakuwa kama nataka kukitapika.usiku nashindwa lala vizuri.nakonda
sijui wenzangu mnahimili vipi?
niko very royal...one man chick...michepuko sijawahi but ananizingua
najitahidi kuwa mwema,kuspend quality time...hata kwa simu...
nilimkubalia ye msela tu ndo anaanza tuyajenge tufike mbali..kwa juhudi na mungu akijalia.nkawakatalia waliokwisha settle down na minoti yao sababu yako..
but we msela unazingua..unazingua vibaya mno
we unanitemea shit thn unanipotezea..mimi nakufariji kwa matatizo unayopitia unadai nakupigia kelele..
mi nkitembea mtaani tu muuza duka ananililia..muuza mkaa anachombeza.muuza bucha nae hayupo nyuma.
..muuza genge kila nkifika anakonyeza mfululizo...vibanda vya mpesa ndo wanachukua bila kujua namba na kusumbua....msugua kucha ananibembeleza niwe wake..eti tangu aanze hiyo kaz katengeneza kucha wadada kwa mamia ila mimi tu ndo kanipenda..nkipanda daladala makonda si tamdika si mnaz mmoja si tegeta wakinipa risiti wanajibanza wanaomba namba..kila mtaa ntaoingia mi nageukiwa..kila mgeni kijana ataekuja home ananitaka

we kwanini unaninyanyasa mwana wa mwenzio? kisa kukupenda?

wakaka mkipendwa pendekeni basi..au mnatakaje??
Hao uliowataja
. Muuza genge
. Muuza duka
. Mpaka rangi kucha
. Konda

Ndo wenye manoti uliowakataa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom