Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Nimeajiriwa serikalini mwaka 2013.mwaka 2014 niliweza kununua kiwanja chenye thamani ya milioni sita(hapa dsm),na nikaanzisha ujenzi ambao ulinigharimu milioni kumi nne hadi kufika kwenye mkanda wa juu(lenta). mwaka 2015 namshukuru mungu nimeweza kuipaua yote ambapo imenigharimu kama milioni saba pia nimeweka grili sehemu zote ambazo zimenigharimu kama milioni moja na laki saba.pia nimeweza kufanya wiring nyumba yote,na kuipiga plasta baadhi ya vyumba kwa ndani. malengo yangu 2016,mungu akinisaidia ni kuimalizia nyumba yangu pia nataka kufungua kampuni ambayo itakuwa inahusika na maswala ya ajira. kama wewe unaamini ajira yako haikulipi,kwa nini ulionao wanapata maendeleo? be care
Hongera sana mkuu!!,lkn naomba nikuulize kidogo;Hivi lengo la hii post yako nini,Maana haujaelezea ni kwa namna gani(mbinu),uliweza kupata pesa za kujengea nyumba yako ili wengine nao waige kwako,kinyume chake ni km umejisifusifu jambo ambalo si zuri maana huwezi jua labda humu JF kuna Walimu waliofanya makubwa zaidi.