Mimi kama muislamu najiuliza, Haji Manara alienda Macca au Makambako?

Kwenda macca kwa jambo la kiimani ni ishara kubwa sana kwa muislamu yoyote yule, na lazima tabia zake pia ziakisi heshma ya Macca na uislamu.

Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.

Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.

Alienda Macca au Makambako?View attachment 2851479View attachment 2851480
Dogo/Sister fanya maisha yako. Unapata wapi muda huu wa kuhangaika na ya nwenzio? Unataka akudandie wewe? Watu kama ninyi ni hasara na mzigo kwa taifa
 
Usinipangie majukumu
Sasa mbona wewe unawapangia wenzio? Dogo utakuja olewa bila mahari. Achana na makasiriko ya maisha ya watu. Shauri yako kuna wenzio walianza hivi hivi walipokuja toka Mikoani huko. Sisi walume tukawaoa baadaye wamekuja shtuka mpaka leo wanachuki tu humu ndani.
 
Tumuache mlemavu wa ngozi afanye atakavyo inawezekana sio uislamu unaomtuma hivyo ila tatizo alonalo.let's mind our own business especially in this season of Christmas wakristo wote wa Africa tunasubili ibada ya waroma (Catholic) watuambie season mpya tuwatambuaje ni mashoga au kutakuwa na dhehebu Lao jipya kuanzia kesho Catholic Church of Afrika.Manara tumuache na Islamic wenzie watamalizana anao masheikh wanamsimamia ila wakatoliki na wakristo wengine ndio hatujui msimamo wa wanausimamia ukatoliki afrika
 
Kwenda macca kwa jambo la kiimani ni ishara kubwa sana kwa muislamu yoyote yule, na lazima tabia zake pia ziakisi heshma ya Macca na uislamu.

Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.

Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.

Alienda Macca au Makambako?View attachment 2851479View attachment 2851480
Black people tupo tayari kufanya chochote kwa sababu ya pesa na umaarufu
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Punguza kufuatilia maisha ya watu...
Muacheni kijana wa watu aishi maisha yake...wewe ni nani umuhukumu na dini yako feki...
Upo sahihi nakuunga mkono ila minor correction, hapo kwenye kijana weka "mzee wa watu" 😃😃😃😃
 
  • Thanks
Reactions: Tui

Similar Discussions

Back
Top Bottom