Hiyo ni issue lakini haya anayofanya hayafanyii msikitini na hayafanyi kwa kuwa eti ni Mwislamu ila anayafanya kwa tabia zake mwenyewe akiwa kama Manara.Ohhh, lwa hiyo akija ma nyama ya nguruwe msikitini sio issue
Umejibu kirahisi sana na Kuna watu watakuona kama chawa wake ila huna elimu ya uchawaIshi maisha yako acha kuwaza maisha ya wenzako kwani alienda kwa gharama zako? Alienda kwa ajili yako? Hao wanaoshikwa unawaonea wivu?
Kama huna Kazi nenda masjid makonde pale uuze mitishamba
Dogo/Sister fanya maisha yako. Unapata wapi muda huu wa kuhangaika na ya nwenzio? Unataka akudandie wewe? Watu kama ninyi ni hasara na mzigo kwa taifaKwenda macca kwa jambo la kiimani ni ishara kubwa sana kwa muislamu yoyote yule, na lazima tabia zake pia ziakisi heshma ya Macca na uislamu.
Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.
Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.
Alienda Macca au Makambako?View attachment 2851479View attachment 2851480
Sasa mbona wewe unawapangia wenzio? Dogo utakuja olewa bila mahari. Achana na makasiriko ya maisha ya watu. Shauri yako kuna wenzio walianza hivi hivi walipokuja toka Mikoani huko. Sisi walume tukawaoa baadaye wamekuja shtuka mpaka leo wanachuki tu humu ndani.Usinipangie majukumu
na hizo ndizo raha za uislam,hajj anaziishi.Unaenda Makka kufanya ibada sasa mapicha ya nn tena kama sio ria.
Jambo limekatazwa huyo hta ndoa zake ni mushkeri anaach na kuoa kila siku ,yaani mtu ukimsema jinsi alivyo itakuwa kesi ya ubaguzi.
Na yuko serious kabisa 😂kuna demu wa kiislamu mbususu ananipa kama karogwa ila denda hataki kwamba haniamini maana nakula kitimoto
😄😄😄Walitoka mapema mjini wakawahi Moshi hela imeisha wanaanza kujadili maisha ya watu wengineMwisho wa mwaka watu ni wakali sana
Nawe uko mgombani?😄😄😄Walitoka mapema mjini wakawahi Moshi hela imeisha wanaanza kujadili maisha ya watu wengine
Sio woteWaislamu wote wapo hvy
Muislamu hataki kula kitimoto lkn huyo huyo utamkuta anazini, anaiba, anakula wake za watu nk
Apana! Sema napamiss Sana, nlikulia migombani😂Nawe uko mgombani?
HahaIshi maisha yako acha kuwaza maisha ya wenzako kwani alienda kwa gharama zako? Alienda kwa ajili yako? Hao wanaoshikwa unawaonea wivu?
Kama huna Kazi nenda masjid makonde pale uuze mitishamba
Aliende makambakoUsinipangie
Black people tupo tayari kufanya chochote kwa sababu ya pesa na umaarufuKwenda macca kwa jambo la kiimani ni ishara kubwa sana kwa muislamu yoyote yule, na lazima tabia zake pia ziakisi heshma ya Macca na uislamu.
Haji Manara alikuwa mwalimu wa madrasa, na amepiga sana madufu na ngoma za daku usiku kucha.
Lakini tangu atoke Macca amekuwa mtu wa hovyo sana, na tabia zake ni matusi kwa uislamu. Anashikana na wanawake hovyohovyo mabarabarani wakiwa uchi wa mnyama, anakutwa na picha za video akiwa na machangudoa naambo mengi machafumachafu.
Alienda Macca au Makambako?View attachment 2851479View attachment 2851480
Upo sahihi nakuunga mkono ila minor correction, hapo kwenye kijana weka "mzee wa watu" 😃😃😃😃Punguza kufuatilia maisha ya watu...
Muacheni kijana wa watu aishi maisha yake...wewe ni nani umuhukumu na dini yako feki...