Mimea ina masikio?

Labda msomi wa magazeti na page za udaku. Uandishi wako ni kama mtu anayesikiliza sana taarabu na singeli.
Thubutuu!! Niko njema haswaaaa.

Ninajiamini kielimu kuliko kitu chochote, ndio maana nawakosoa nyie vinyamkera bila hofu wala mbambamba.

Mpaka mnyooke.
 
Ni kweli Kuna uwa nikiwa na mkwa hustawi kweli kweli. Ila mkwanja ukikata hudumaa pamoja na kulimwgilia maji na mbolea.
Leo mmeamua kutumia lugha gani hizi zisizoeleweka?
Si hii comment peke yake, ni nyingi sana zinazoandika "ukibogoyo"!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom