Mimea ina masikio?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,695
6,398
"Whatever you praise, you increase!"

Hiyo kauli ni miongoni mwa nukuu zilizopo kwenye kitabu cha M. R. Kopmeyer.

Kopmeyer, ambaye hujiita pia America's Success Counselor, anaongeza kuwa katika tafiti zilizofanyika, wanawake waliokuwa na tabia ya kusfia maua yao, walikiri kuwa mimea yao ilistawi vizuri sana tofauti na wale ambao hawakuwa wakifanya hivyo.

Mtu mwingine akasema aliotesha miche miwili ya miti, ambapo mti mmoja alikuwa akiulaani kila siku huku mwingine akiubariki. Pamoja na kumwagilizia na kuiwekea mbolea kwa kiwango sawa, ule aliokuwa akiulaani ulikauka baada ya miezi kadhaa huku uliokuwa ukibarikiwa ukiendelea kustawi zaidi.

Katika tukio jingine, mhubiri mmoja alisema kuwa wanasayansi wamegundua kuwa kunapotokea moto msituni, miti mikubwa hutoa maji ya kuihami miti midogo isiungue. Kwa tafsiri ya huyo mhubiri, miti mikubwa inapopata taarifa ya uvamizi wa moto, huitaarifu miti iliyo karibia na "watoto" kuwa kuna hatari hivyo waitengenezee miti midogo mazingira ya usalama. Kwa hiyo, hutoa maji yatakayoisaidia miti midogo isiangamie.

Kuna ukweli katika hiyo mitazamo? Wanasayansi wanasemaje kuhusu mimea?

Inaweza kuwasiliana?
Inaweza kusikia?

Mimea ina masikio?
 
"Whatever you praise, you increase!"

Hiyo kauli ni miongoni mwa nukuu zilizopo kwenye kitabu cha M. R. Kopmeyer.

Kopmeyer, ambaye hujiita pia America's Success Counselor, anaongeza kuwa katika tafiti zilizofanyika, wanawake waliokuwa na tabia ya kusfia maua yao, walikiri kuwa mimea yao ilistawi vizuri sana tofauti na wale ambao hawakuwa wakifanya hivyo.

Mtu mwingine akasema aliotesha miche miwili ya miti, ambapo mti mmoja alikuwa akiulaani kila siku huku mwingine akiubariki. Pamoja na kumwagilizia na kuiwekea mbolea kwa kiwango sawa, ule aliokuwa akiulaani ulikauka baada ya miezi kadhaa huku uliokuwa ukibarikiwa ukiendelea kustawi zaidi.

Katika tukio jingine, mhubiri mmoja alisema kuwa wanasayansi wamegundua kuwa kunapotokea moto msituni, miti mikubwa hutoa maji ya kuihami miti midogo isiungue. Kwa tafsiri ya huyo mhubiri, miti mikubwa inapopata taarifa ya uvamizi wa moto, huitaarifu miti iliyo karibia na "watoto" kuwa kuna hatari hivyo waitengenezee miti midogo mazingira ya usalama. Kwa hiyo, hutoa maji yatakayoisaidia miti midogo isiangamie.

Kuna ukweli katika hiyo mitazamo? Wanasayansi wanasemaje kuhusu mimea?

Inaweza kuwasiliana?
Inaweza kusikia?

Mimea ina masikio?
Sio inamaaikio Bali ni kuwa kinywa chako kina nguvu ya kuumba lolote ulisemalo, na hii ni kwa kila kitu... Iwe watoto, ndoa, biashara nk. Unaweza kuumba vile utakavyo, ukitamka Milana kinywa cha ummba, ukitamka Baraka vilevile... Kazi kwako sasa🙏🙏
 
Ni kweli Kuna uwa nikiwa na mkwa hustawi kweli kweli. Ila mkwanja ukikata hudumaa pamoja na kulimwgilia maji na mbolea.
 
"Whatever you praise, you increase!"

Hiyo kauli ni miongoni mwa nukuu zilizopo kwenye kitabu cha M. R. Kopmeyer.

Kopmeyer, ambaye hujiita pia America's Success Counselor, anaongeza kuwa katika tafiti zilizofanyika, wanawake waliokuwa na tabia ya kusfia maua yao, walikiri kuwa mimea yao ilistawi vizuri sana tofauti na wale ambao hawakuwa wakifanya hivyo.

Mtu mwingine akasema aliotesha miche miwili ya miti, ambapo mti mmoja alikuwa akiulaani kila siku huku mwingine akiubariki. Pamoja na kumwagilizia na kuiwekea mbolea kwa kiwango sawa, ule aliokuwa akiulaani ulikauka baada ya miezi kadhaa huku uliokuwa ukibarikiwa ukiendelea kustawi zaidi.

Katika tukio jingine, mhubiri mmoja alisema kuwa wanasayansi wamegundua kuwa kunapotokea moto msituni, miti mikubwa hutoa maji ya kuihami miti midogo isiungue. Kwa tafsiri ya huyo mhubiri, miti mikubwa inapopata taarifa ya uvamizi wa moto, huitaarifu miti iliyo karibia na "watoto" kuwa kuna hatari hivyo waitengenezee miti midogo mazingira ya usalama. Kwa hiyo, hutoa maji yatakayoisaidia miti midogo isiangamie.

Kuna ukweli katika hiyo mitazamo? Wanasayansi wanasemaje kuhusu mimea?

Inaweza kuwasiliana?
Inaweza kusikia?

Mimea ina masikio?
Miti ina nafsi, chunguza Kwa makini biashara ya mkaa ina pesa nyingi Sana lakini wote wanaofanya biashara hiyo hawana maendeleo sawa na kazi ya serelamala Tu, ni laana tupu.
 
Miti ina nafsi, chunguza Kwa makini biashara ya mkaa ina pesa nyingi Sana lakini wote wanaofanya biashara hiyo hawana maendeleo sawa na kazi ya serelamala Tu, ni laana tupu.
Mbona inasemekana biashara ya mkaa inalipa sana?

Kuna nchi wanasafirisha nchi za nje, inafanyiwa packaging kabisa na kupelekwa "ng'ambo"
 
"Whatever you praise, you increase!"

Hiyo kauli ni miongoni mwa nukuu zilizopo kwenye kitabu cha M. R. Kopmeyer.

Kopmeyer, ambaye hujiita pia America's Success Counselor, anaongeza kuwa katika tafiti zilizofanyika, wanawake waliokuwa na tabia ya kusfia maua yao, walikiri kuwa mimea yao ilistawi vizuri sana tofauti na wale ambao hawakuwa wakifanya hivyo.

Mtu mwingine akasema aliotesha miche miwili ya miti, ambapo mti mmoja alikuwa akiulaani kila siku huku mwingine akiubariki. Pamoja na kumwagilizia na kuiwekea mbolea kwa kiwango sawa, ule aliokuwa akiulaani ulikauka baada ya miezi kadhaa huku uliokuwa ukibarikiwa ukiendelea kustawi zaidi.

Katika tukio jingine, mhubiri mmoja alisema kuwa wanasayansi wamegundua kuwa kunapotokea moto msituni, miti mikubwa hutoa maji ya kuihami miti midogo isiungue. Kwa tafsiri ya huyo mhubiri, miti mikubwa inapopata taarifa ya uvamizi wa moto, huitaarifu miti iliyo karibia na "watoto" kuwa kuna hatari hivyo waitengenezee miti midogo mazingira ya usalama. Kwa hiyo, hutoa maji yatakayoisaidia miti midogo isiangamie.

Kuna ukweli katika hiyo mitazamo? Wanasayansi wanasemaje kuhusu mimea?

Inaweza kuwasiliana?
Inaweza kusikia?

Mimea ina masikio?
Hizo ni myths tu;Hamna lolote.Kisayansi hamna kitu km hicho.Km Mwanataalamu wa Sekta ya Kilimo,nimesoma issue za Plant Botany,Plant Physiology,Crop physiology,nk.Lkn sijawahi kusikia kitu km hicho,isipokuwa nilichojifunza ni Kwamba Mimea inaweza kuwasiliana na mimea mingine au hata kurespond kutokana na mabadiliko ya hali fulani,ndio kuna mambo km ya Cell signalling,Chemotropism,Thigmostrism na Thimonasty,nk.Lkn hizo hbr Nyingine sijawahi kujifunza unless km kuna Scientific mechanism inayoweza kuelezea hayo Mambo.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom