Wana JF,
Hivi ni kweli mwanamke anaweza kupata mimba akiwa na bikira hata kama haijaondolewa? mara ya mwisho binti flan aliniambia ana bikira nikajitahidi sikufanikiwa nikajikuta manii zinanitoka na kumwagikia juu ya kinena!
Baada ya siku saba akaja na kipimo kinachosema ana ujauzito!?....Inawezekana? nahisi kushikishwa!
Jambo la ajabu ananishauri tuitoe lakini mimi siafiki kabisa jambo hilo kama ni kujifungua nitalea damu yangu. Naomba ushauri!
Hivi ni kweli mwanamke anaweza kupata mimba akiwa na bikira hata kama haijaondolewa? mara ya mwisho binti flan aliniambia ana bikira nikajitahidi sikufanikiwa nikajikuta manii zinanitoka na kumwagikia juu ya kinena!
Baada ya siku saba akaja na kipimo kinachosema ana ujauzito!?....Inawezekana? nahisi kushikishwa!
Jambo la ajabu ananishauri tuitoe lakini mimi siafiki kabisa jambo hilo kama ni kujifungua nitalea damu yangu. Naomba ushauri!