Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
bado hujachelewa kuitafuta lakini!..sio mbaya ukiwa wa kwanza kutupa mrejesho!
Sasa hiyo ya kutafuta haiwezi kuwa isiyotarajiwa. Hiyo ni majukumu yangu na ntayasimamia ipasavyo kama mama.
bado hujachelewa kuitafuta lakini!..sio mbaya ukiwa wa kwanza kutupa mrejesho!
Watu wa fursa utawaelewa tu kwa maandiko yao hii ni project ya maana sana ambayo ukimtonya mzungu anakutumia mafurushi ya pesa tu ebu onana na watu wa project planning unufaike sasaivi "in the twinkling of an eye"!
Ningetaka hizo fursa leo nisingekuwa hapa na hata mleta mada pia....sio kuwa hatujui kuandika writeups na kutafuta wafadhili,