Ha ha ha ..Mimi kuna wa jirani yangu yeye alikuwa anataka chipsi tena za mangi mtaa wa tatu, na ole wake
alete za mtu mwingine balaa...kumbe anazijua!
Mwisho wa reli alikuwa anaambiwa kila jioni aje na miguu ya kuku ya kukaanga na jamaa mwenyewe 'braza men"!!
anawaza namna atakavyopita Uswazi kwenye vigenge kununua!
Acha mchezo na mimba!
Juzi nimeenda pokea mihogo stendi imetumwa kutoka dar, eti ya hapa haina ladha! mihogo ya elfu 5, inasafirishwa kwa elfu 10, unawasha gari unatembea 25km kuifuata!
Mimba zinatesa sana.
sory nimetumia maneno ya kuchanganya kidogo.., mimba kaibeba yeye na mim ndo nili-isababisha.
Mimba oyeeeeeeee
wengine wanajifanyisha tu mm wife ni mjamzito na ni memwambia asiniletee drama zozote mbona katulia tu ,na tunalea mimba kwa amani tu
inakuwaje
walewalopewa mimbanjeyandoasiwanatesekeka sana?
ni mimba bwana hiyo akizaa atabadilika hadi utashangaa.mvumilie tu miezi 6
yote umevumilia hiyo mitatu ilobaki isikushinde bwana.
ila nae vituko vya mimba vimezidi hadi amwage maji katika godora
sa ye angelala wapi au alimwaga upande wako tu?
umenichekesha saaana maana kufata miwa hadi buguruni hilo nalo kazi
ila mie nakupa hongera kwa support hiyo kwa mkeo wengine wangekua
wameanza kuhangaika na nyumba ndogo.
KIP ON SUPPORTNG HER
kwenda zako huko, nilichangia na wew!
asante sana kwa kunitia moyoKaka wala husiwe na wasiwasi,hilo ni la kawaida kabisa kwa akina mama pindi wanapokuwa wajawazito,cha msingi endelea kumpenda zaidi na kuwa naye karibu,baada ya kujifungua atakuwa katika hali yake ya kawaida.mungu akubariki
mkuu wew utakuwa bandidu asiye na huruma hata chembe.., hivi unaweza kulala na kumuacha mkeo analia usiku kucha sababu kakosa miwa..., na usingiz ukaja kabisa!!!!!!. sidhan kama unamaanisha ulichosemaMimba za wanawake tukiziendekeza wanaweza hata kutukalia kichwani... Kuna rafiki yangu siku alizunguka mji mzima anatafuta mahindi ya kuchomwa....
Mi siendekezi huo upuuzi...