Mimba ya miezi 8 na siku 17 je, Kuna uwezekano kujifungua na mtoto akawa hai?

malembeka18

JF-Expert Member
Jan 26, 2018
2,780
2,716
Habar wakuu poleni namjukum mke wangu anamimba ya miezi 8 na siku17 ...mjamzito anadalili zinazofannana na uchungu kuuma nyonga maumivu yanakuja nakuachia...je kunauwezekano wakujifungua na mtoto akawa hai kwa umri wa mimba hii ya miez8 na siku17..maana mimba miezi 9 kamili Bado haijakamilika
 
Anajifungua mtoto aliyekamilika kabisa bila wasiwasi.Mwanamke anaweza kujifungua kabla au baada ya wiki mbili,ila ikiwa ni kabla ya wiki zaidi ya mbili au baada hapo ndipo inaweza kuhesabiwa kuwa ni tatizo.
 
Habar wakuu poleni namjukum mke wangu anamimba ya miezi 8 na siku17 ...mjamzito anadalili zinazofannana na uchungu kuuma nyonga maumivu yanakuja nakuachia...je kunauwezekano wakujifungua na mtoto akawa hai kwa umri wa mimba hii ya miez8 na siku17..maana mimba miezi 9 kamili Bado haijakamilika
Mkuu huwa hizi mambo wanahesabu kwa wiki na sio miezi, kama ulihesabu miezi 8 na siku 17 ina maana wiki 36 zimeshatimia anajifungua. Ila kama wiki 36 hazijatimia utahitaji ushauri wa daktari
 
Mkuu huwa hizi mambo wanahesabu kwa wiki na sio miezi, kama ulihesabu miezi 8 na siku 17 ina maana wiki 36 zimeshatimia anajifungua. Ila kama wiki 36 hazijatimia utahitaji ushauri wa daktari
Mkuu mim nilihesabu siku niyotungishisha mimba danger day...after kwenda clinic hesabu za miez ya mimba zilikwenda sawa sawa na siku niliyotungisha mimba maana hakukuwa na makutano ya kimwili mwezi mzima tofauti na siku hiyo ya danger
 
Ongea na doctor wako akupe muongozo. Siku hizi wanakuchoma sindano ya kukomaza mapafu ya mtoto kwenye wiki ya 28 kama una complications. So hata wiki ya 30+ anajifungua, japo care kwa mtoto inahitajika sana.
 
Tatizo lako linafanana na la wake zangu, wao walipata ujauzito kwa pamoja na wote bado siku chache wajifungue wakati huo dalili hizo wanazipa,MUngu atusaidie
 
Mkuu mim nilihesabu siku niyotungishisha mimba danger day...after kwenda clinic hesabu za miez ya mimba zilikwenda sawa sawa na siku niliyotungisha mimba maana hakukuwa na makutano ya kimwili mwezi mzima tofauti na siku hiyo ya danger
Tunaanza kuhesabu siku ya mwisho kupata period... Sio danger day.
Ki taaramu ni hatari kujifungua miezi 8 ni afadhari miezi 7 tutaita njinti au premature. Kuna jambo linafanyika wakati wa miez 8 na ni hatari kukatisha ghafla.
 
Tatizo lako linafanana na la wake zangu, wao walipata ujauzito kwa pamoja na wote bado siku chache wajifungue wakati huo dalili hizo wanazipa,MUngu atusaidie
Mwisho wa siku ikawaje walijifungua kabla ya miez9 au walitimiza miez9...au ndo wanamimba Sasa hivi
 
Hongera mkuu, naona hatimaye unaelekea kumpakata uncle

Anza maandalizi ya vifaa vya kujifungulia kwa Mama K
 
Umri wa mimba (gestation age) ni 36-40 weeks, mama mjamzito akijifungua kabla au baada ya hapo tunasema some thing is wrong so you better consult the doctor for clinical advice.
 
Back
Top Bottom