Naombeni ushauri nn nifanye
Mke wangu ana mimba ya wiki 40 (leo ndo siku yake ya mwisho katika hizo wiki 40) ila bado hajajifungua.
Tumbo halimuumi wala hakuna hali yoyote ya hatari inayomsumbua.
Mtoto anacheza vizuri kabisa ila sasa wiki zake za makaridio ya kujifungua zimeisha ila bado hajajifungua. Nini kifanyike ..?
Tuendelee kusubiri au tutafute namna zingine mbadala..?
Ushauri wenu unahitajika sana
Mke wangu ana mimba ya wiki 40 (leo ndo siku yake ya mwisho katika hizo wiki 40) ila bado hajajifungua.
Tumbo halimuumi wala hakuna hali yoyote ya hatari inayomsumbua.
Mtoto anacheza vizuri kabisa ila sasa wiki zake za makaridio ya kujifungua zimeisha ila bado hajajifungua. Nini kifanyike ..?
Tuendelee kusubiri au tutafute namna zingine mbadala..?
Ushauri wenu unahitajika sana