Mimba miezi 10 (wiki 40) bado hajajifungua

Mimba miezi 10 (wiki 40) bado hajajifungua

wakwetu05

Member
Joined
Mar 28, 2025
Posts
75
Reaction score
124
Naombeni ushauri nn nifanye

Mke wangu ana mimba ya wiki 40 (leo ndo siku yake ya mwisho katika hizo wiki 40) ila bado hajajifungua.
Tumbo halimuumi wala hakuna hali yoyote ya hatari inayomsumbua.

Mtoto anacheza vizuri kabisa ila sasa wiki zake za makaridio ya kujifungua zimeisha ila bado hajajifungua. Nini kifanyike ..?

Tuendelee kusubiri au tutafute namna zingine mbadala..?

Ushauri wenu unahitajika sana
 
Naombeni ushauri nn nifanye
mke wangu anamimba ya wiki 40 (leo ndo siku yake yamwisho katika hizo wiki 40) ila bado hajajifungua.
tumbo halimuumi . wala hakuna hali yeyeto ya hatari inayomsumbua. mtoto anacheza vizuri kabisa ila sasa wiki zake zamakaridio yakujifungua zimeisha ila bado hajajifungua . nini kifanyike ..? tuendelee kusubiri au tutafute namna zingine mbadala..?
ushauri wenu unahitajika sana
Madaktari wanasemaje..?
 
40 weeks mbona haina shida... Hiyo ni full term (39-40 weeks)... Kama hana complications yoyote ni kawaida. Aende tu hospital ajiandae na labour. Hukohuko madaktari watampa muongozo.
 
Naombeni ushauri nn nifanye

Mke wangu ana mimba ya wiki 40 (leo ndo siku yake ya mwisho katika hizo wiki 40) ila bado hajajifungua.
Tumbo halimuumi wala hakuna hali yoyote ya hatari inayomsumbua.

Mtoto anacheza vizuri kabisa ila sasa wiki zake za makaridio ya kujifungua zimeisha ila bado hajajifungua. Nini kifanyike ..?

Tuendelee kusubiri au tutafute namna zingine mbadala..?

Ushauri wenu unahitajika sana
Kama ni mimba yake ya kwanza neenda ukamuona gyonologist wako mapema ila kama ya kwanza kawaida mpaka wiki ya 41
 
Ili mtu ajifungue inategemea weeks zinaanzia 36-42 kwahiyo usijali....

Mara nyingi wanajifungua kabla ya tarehe ya matazamio EDD au baada ya tarehe ya matazamio
 
Mkizubaa atajifungua mtoto mwenye ndevu tayari
 
Naombeni ushauri nn nifanye

Mke wangu ana mimba ya wiki 40 (leo ndo siku yake ya mwisho katika hizo wiki 40) ila bado hajajifungua.
Tumbo halimuumi wala hakuna hali yoyote ya hatari inayomsumbua.

Mtoto anacheza vizuri kabisa ila sasa wiki zake za makaridio ya kujifungua zimeisha ila bado hajajifungua. Nini kifanyike ..?

Tuendelee kusubiri au tutafute namna zingine mbadala..?

Ushauri wenu unahitajika sana
Expected Due Date yake ilikuwa ni lini?
 
Back
Top Bottom