Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 5,965
- 19,677
Meetings zao ni kwenye restaurants na hotels na huko wakifika lazma waagize kahawa na dessertsJamaa ni muongo sana.
Wenzetu wenye nazo;
1.Asubuhi kifungua kinywa wengine wanaita starter
2. Saa 4 chai/,kahawa
3. Saa 6 hadi 7 lanchi
4. Saa 4 kahawa/juisi nk
5. Usiku ndio...nini vile?
Wenye nazo hawaishi kutafuna kutwa.
Acha Janabi awatie moyo sijui ni siasa?
Bado hujarudi kwa matajiri wetu wa mikoani, hao ni mwendo wa ugali, nyama choma, samaki, soup, bear etc