Milo mitatu kwa siku ni kwa masikini

Milo mitatu kwa siku ni kwa masikini

Dunia ina mambo....Kila siku kunaibuka kituko kipya
Leo inaonekana maskini ndiyo wana kula sana na hovyo.
Leo inaonekana maskini wana pesa za kununua vyakula na kula milo mitatu kwa siku.
Leo ukila milo mitatu wewe ni maskini.

Kula unapohitaji chakula, kula vizuri/ kwa mpangilio.

Tumia kidogo...
.Mafuta
.Chumvi
.Sukari

Unaweza kujilinda kwa kula kwa mpangilio, ila kile unachokula kikawa hakina ubora japokuwa unaona kina ubora.

Amini nakwambia....Tunakula sumu nyingi hasa kwenye mboga mboga.
Wakulima wengi wa mboga mboga hawajali afya za walaji.

Mambo ni mengi TUISHI TU.

Mungu hawezi kutulinda kwa ujinga wetu.
 
Watanzania wengi wana utapiamlo unaotokana na ukosefu wa chakula na wala si vinginevyo.
Wachache sana wenye viriba tumbo ambao hawazidi hata asilimia 5
utapiamlo hausababishwi ba kuto kula balu virutubisho, shida hatuwezi tofautisha ni chakula kipi cha kuka asubuhi, mchana au jioni, ni kawaida kukuta asubuhi wagu aanapiga brakfast ya wali,
 
Juisi ni hatari kwa afya....

Matajiri tunakunywa maji tu.
FB_IMG_1708522786642.jpg
 
Mkuu acha masihara basi, hela umtafte kwa tabu na nishinde njaa wakati hela ipo mfukoni. Bajeti ya kula muhimu mtu anaefanya kazi ngumu mfano kubeba zege, kulima, kubeba mizigo huyu ukimwambia milo miwili asile mchana utamuua anaweza dondoka mkahisi ana mapepo 😅
 
ishu sio kula mara ngapi, ishu unakula nini? maskini kwa matajiri wengi kwa hapa kwetu wote kapu moja wanakula hovyo.
 
Mkuu acha masihara basi, hela umtafte kwa tabu na nishinde njaa wakati hela ipo mfukoni. Bajeti ya kula muhimu mtu anaefanya kazi ngumu mfano kubeba zege, kulima, kubeba mizigo huyu ukimwambia milo miwili asile mchana utamuua anaweza dondoka mkahisi ana mapepo 😅
hivi kwa waislam hawa watu inakuaje kpndi chao cha ramadhan? nakumbuka mchizi alianguka na mkarai alikua kafunga..tukamwambia utakufa 😂 ikabidi ajiunge tela akafungulia akala.
 
Mtu anakula milo mitatu au mara nne kwa siku halafu anaitwa masikini
Au wanakula bure kwa matajiri?

Milo minne masikini?
Nimekuelewa wala usijibu kwa sababu hata mimi ninakula ninavyopenda mimi
Naweza nikala mara 2 au x3 ni maamuzi ya tumbo linavyotaka na mwezi ujao nafunga ni kujipangia mwenyewe
Tajiri ni yupi maana nina uwezo kama hao na niko nao kila saa
Kuna wengi wanapakia haswa mpaka wamepata maradhi makubwa makubwa
Tajiri hali? Tena wapo nawajua wanafakamia haswa
Anaweza kula hata upande wa mbuzi akiwa kachomwa na Lita 3 za coke
Ni mtu na mtu kwa kula
 
Janabi anafanya siasa.

Mimi mkulima wa tumbaku nishindie tango moja na mayai mawili kwa siku kweli ?

Anakisaidia Chama
 
Masikini sisi ndio tunapiga milo mitatu kwa siku tena sio miatatu tu inaweza kuwa minne. Make tunapiga Chai, mchana tunapiga Chakula jioni Supu na bado tena Chakula cha usiku. Hapo katikati kabla ya saa 7 kuna mara soda, mara karanga maea matunda.

Matajir wengi wanakula milo miwili kwa siku, asubuhi na jioni basi inatosha na wana ratiba na mpangilio wa kula, sisi masikini ssala la mpangilio wa kula halipo na ndio maana tuna figire hazieleweki eleweki.

Prof Janabi akisema anakula milo miwili mimi namuelewa fika hio ni hulka ya watu wengi wenye pesa zao. Sasa masikini lazima tushangae anaweza vipi kula milo miwili kwa siku.

Kisayansi kwanza ieleweke hakuna kitu na hahisi njaa, ile ni saikolojia isha jengeka kwemye ubongo ikifika saa 7 tu unataka kula, au saa 4 chai. Ila mwili sio kwamba ubakuta umeishiwa chakula hapana ila ni uramaduni mwili umeijengea.

Watu wanao funga ndio maaana siku za mwanzo wanapata sana shida ila wakisha zoea ile hali inapotea kabisa, sasa wakina Prof Jajabi walisha jitwin, mchana hawezi hisi njaa make kamwe.

Na matajiri wanakula mingapi
 
Tajiri inawezekana hali sana kwasababu kazi anazofanya siyo za kutumia nguvu na hatoki jasho kwa wingi

Mimi mbeba zege huwezi kuniambia nile chapati moja asubuhi na yai moja, mchana nile soseji mbili na juice usiku nile matunda zege haitabebeka mzee
 
Milo mitatu si mwili utachoka kufanya mmeng'enyo masaa kadhaa kwa siku? (imagine kila mlo unataka walau 3 hours - wataalamu tunaomba muongozo hapa)

Hili la uwezo kiuchumi sina data, hata hivyo kama breakfast ni nzito, kula tena mida ya saa 11 jioni hivi na ndio iwe imetoka, kawaida sana.
 
hivi kwa waislam hawa watu inakuaje kpndi chao cha ramadhan? nakumbuka mchizi alianguka na mkarai alikua kafunga..tukamwambia utakufa 😂 ikabidi ajiunge tela akafungulia akala.
Kufunga kwa mara ya kwanza huwa ngumu ila ikifika siku 9 na kuendelea unazoea shida huwa jioni ikifika saa10 kitu inapekecha hiyo😂😂 unaweza kuwaambia watu unaumwa
 
Ni utaratibu wangu kula mara mbili kwa siku,mwaka wa tano huu...mimi sio tajiri ila nafanya hvyo kama kubalance mwili usifutuke sana!
 
Hongera tajiri
Masikini sisi ndio tunapiga milo mitatu kwa siku tena sio miatatu tu inaweza kuwa minne. Make tunapiga Chai, mchana tunapiga Chakula jioni Supu na bado tena Chakula cha usiku. Hapo katikati kabla ya saa 7 kuna mara soda, mara karanga maea matunda.

Matajir wengi wanakula milo miwili kwa siku, asubuhi na jioni basi inatosha na wana ratiba na mpangilio wa kula, sisi masikini ssala la mpangilio wa kula halipo na ndio maana tuna figire hazieleweki eleweki.

Prof Janabi akisema anakula milo miwili mimi namuelewa fika hio ni hulka ya watu wengi wenye pesa zao. Sasa masikini lazima tushangae anaweza vipi kula milo miwili kwa siku.

Kisayansi kwanza ieleweke hakuna kitu na hahisi njaa, ile ni saikolojia isha jengeka kwemye ubongo ikifika saa 7 tu unataka kula, au saa 4 chai. Ila mwili sio kwamba ubakuta umeishiwa chakula hapana ila ni uramaduni mwili umeijengea.

Watu wanao funga ndio maaana siku za mwanzo wanapata sana shida ila wakisha zoea ile hali inapotea kabisa, sasa wakina Prof Jajabi walisha jitwin, mchana hawezi hisi njaa make kam
 
Back
Top Bottom