jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Rizwani amesomea sheria na anajuwa jinsi katiba mbovu inavyompa nguvu baba yake.Ndo maana polisi wanadai eti ameshitakiwa kwa kumkashifu mtoto wa Rais.Ina maana sheria inasema kuwa adhabu inaongezeka zaidi kama aliyekashifiwa ni mtoto wa Rais?Lugha iliyotumika ndiyo utajuwa umbumbumbu wetu.Kama ni defamation waweke wazi tu na si kutanguliza maneno kama eti "Kumkashifu mtoto wa Rais" haya yote kwenye chama,halafu eti wanavisema vyama vingine kuwa ni vya kifamilia.Haya hii ni nini sasa?